Hivi ile mialiko ya Yanga kwenda Ulaya na Kenya kwenye preseason hii iliishia wapi?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Hii timu imekaa kitapeli sana, wanaokolewa tu na utakatifu wa Max Nzengeli.

Walitutangazia kwa mbwembwe kuwa wamepewa mwaliko maalumu huko Kenya wakasema pia wamealikwa na vilabu vikubwa Ulaya kwa ajili ya preseason, wakaishia kucheza Kombe la Mpumalanga ambalo halina tofauti na lile la Shafii Dauda wanalocheza hadi Bodaboda FC.

Nawakumbusha tu maana baadae msije mkasingizia pre-season yenu haikukamilika kwa jinsi mlivyopanga.
 
Kwani kila mwaliko unaopewa ni lazima uhudhurie? Acha tabia ya nongwa Comrade.
 
Walijialika wenyewe kwenye kombe la pombe mpumalanga..
 
Kwani kila mwaliko unaopewa ni lazima uhudhurie? Acha tabia yq nongwa Comrade.

Sasa si alialikwa SA au hukuona Ndugu mtazamaji

Kama wapenzi na mashabiki kindakindaki, tulistahili kupewa taarifa kama safari hazipo tena maana tulishaanza kutamba huku mitaani. Si unajua sisi wananchi hatuna jambo dogo? Wengine walishashona sare za vitenge za kwendea eapoti kuiaga timu
 
Walijialika wenyewe kwenye kombe la pombe mpumalanga..
Sauzi nao wana majina loco sana, eti Mpumalanga....kuna ile timu inaitwa Sukununu, si tusi hilo?
 
uli
ulijazwa ukajaa,kwa msaada wa dube max akawabaka kwa mkapa
 
Wanaume hawaendi tu kwenye mialiko bila kitu, Wanaume wanaenda pre season na wanarudi na vikombe πŸ˜„ TOYOTA CUP! tena safari hii imekuwa best pre season ever, Vikombe vimebebwa pesa imepatikana πŸ† , mechi zimerushwa Live pia pesa imekusanywa πŸ’΅ na bado uwanja ukajaa mwananchi day! Pesa imekusanywa πŸ’΅ Sio huko umbumbumbuni mechi za pre season zinafichwa kama nyeti za bikra πŸ˜‚ mkiamini kwamba msionekane ili simba day watu wajae mpige hela, jambo ambalo hata yanga waliokuwa wanaonekana na pesa wakapiga na bado wakajaza uwanjaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Akili mtu wangu
 
Wanaume hawaendi tu kwenye mialiko bila kitu, Wanaume wanaenda pre season na wanarudi na vikombe πŸ˜„ TOYOTA CUP! tena safari hii imekuwa best pre season ever
Hii sasa imekuwa skendo. Tupe huo ubuyu. Kwa hiyo huko kwenye mialiko mnapelekaga nini wanaume wenzetu? Au ndiyo ile mnaacha huko ubingwa wenu mnarudi na vikombe πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 
Andaa Timu mtani... Kwenye Ligi ukijichanganya nakupiga Miguu ya Jongoo.
Usilewe sifa na kujiona una timu baada ya Mechi ya tareh 8. Ile mechi hata kama Simba ingeokota Bodaboda na Kuwapa jezi bado wangeisumbua Yanga. Ila kadri muda unavyoenda ndio tutaona uhalisia wa Timu yako...... Jumla ya sajili zote ulizofanya msimu huu 7 watakuwa flop na Mwakani utarud tena kutengeneza timu
 
Zoezi la kutengeneza timu lililochukua misimu karibu mitatu limefungwa rasmi. Duniani kote ukifumua timu uanze upya unahitaji misimu miwili au mitatu ndiyo timu inakaa sawa. Makosa yalifanyika misimu hii miwili ya nyuma na hilo haliepukiki katika project ya namna hii ila Alhamdulillah safari hii yamerekebishwa. Hata sasa sitashangaa kuona walioingia wawili watatu tutaachana nao, hilo ni kawaida. Hauwezi kuwa na usajili perfect, haipo hiyo duniani kote.

Kama bodaboda wangeisumbua Yanga mbona Azam walishindwa?

Tukutane mwisho wa msimu tuzungumze.
 
Halafu hii preseason pia mlifungwa na mkafundishwa na mpira, msidhani tumesahau hilo.
 
Halafu hii preseason pia mlifungwa na mkafundishwa na mpira, msidhani tumesahau hilo.
Maana halisi ya pre season lazima ufungwe na upate challenge hususan kutoka timu kubwa kama za Bundesliga! Sio oreseason mnacheza na timu za bodaboda wa misri alafu mnajisifu mmefanya maandalizi matokeo yake ndiyo kukandwa kila mnapokutana na timu imaraπŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…