ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unaongea nini wewe mbumbumbu? Wakati Hersi anasema mialiko ipo Kenya, Europe na South Africa ulika busy na Mzee Magoma sasa hivi unasumbua watu na u mbumbumbu wakoHii timu imekaa kitapeli sana, wanaokolewa tu na utakatifu wa Max Nzengeli.
Walitutangazia kwa mbwembwe kuwa wamepewa mwaliko maalumu huko Kenya wakasema pia wamealikwa na vilabu vikubwa Ulaya kwa ajili ya preseason, wakaishia kucheza Kombe la Mpumalanga ambalo halina tofauti na lile la Shafii Dauda wanalocheza hadi Bodaboda FC.
Nawakumbusha tu maana baadae msije mkasingizia pre-season yenu haikukamilika kwa jinsi mlivyopanga.
umevimbiwa ugali wa juzi?Hakuna ninachotaka au nisichotaka
Kama mialiko ilikuwa ya siri ilikuwa na haja gani kututangazia sisi kwa mbwembwe halafu iliposhindwa kufanyika waka mute. Tupunguze siasa. Mliambiwa kuna kombe la mialiko?
Mialiko inaingiliana ratiba, ilikua ni lazima klabu ku-apply opportunity cost. Ulaya ni mbali maana muda ni mchache, Yanga alikua na wiki moja tu ya kuzulula, na Kenya hakuna uzito sana kisoka ukilinganisha South Africa. Hivyo chaguo sahihi in terms of time and branding lilikua ni kwenda South Africa.Hii timu imekaa kitapeli sana, wanaokolewa tu na utakatifu wa Max Nzengeli.
Walitutangazia kwa mbwembwe kuwa wamepewa mwaliko maalumu huko Kenya wakasema pia wamealikwa na vilabu vikubwa Ulaya kwa ajili ya preseason, wakaishia kucheza Kombe la Mpumalanga ambalo halina tofauti na lile la Shafii Dauda wanalocheza hadi Bodaboda FC.
Nawakumbusha tu maana baadae msije mkasingizia pre-season yenu haikukamilika kwa jinsi mlivyopanga.
Na hizo za kuvukia Barbara mpaka ashikwe mkono.Yaani wewe una za kuvukia barabara tu.
Yaani wewe una za kuvukia barabara tu.
Tukilimaliza hili nakuja kuibua la uwanja maana nao tuliahidiwa kwa mbwembwe kuwa mwezi wa 7 ujenzi ungeanza hadi wengine tukaanza kuzodolewa.Na hizo za kuvukia Barbara mpaka ashikwe mkono.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa.....Na hizo za kuvukia Barbara mpaka ashikwe mkono.