muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Wewe ni Wanjara au Fidaline Iranga?... hiyo migoma yote kimeo na Frof kapiga sana misele humo...ishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Wanjara au Fidaline Iranga?... hiyo migoma yote kimeo na Frof kapiga sana misele humo...ishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Watanzania banaishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bunyero bunyero address kamili iko wp!!?
hatutaki shida sisi
Hahahaa. Umeona laana gani mkuu?kipindi niko mkoani niliambiwa mjini kuna laana za ajabu sana ila baada ya kuja nimeona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mond fala sana huyu dogo ni zaidi ya mbunifu na unaweza usimuelewe kama huna connection *****... Ndio leo nimeelewa hicho kipandeUshaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mond fala sana huyu dogo ni zaidi ya mbunifu na unaweza usimuelewe kama huna connection *****... Ndio leo nimeelewa hicho kipande
Mwagona mwingaRashida kwa sasa anakula kwa kumpa mademu Mondi...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
The Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.
Dully huyoUnakaa kihasara hasara hata kutwa hujala halafu unataka mademu wakali kama Rashida Wanjara,mademu wazuri bongo tunamega vinara kama we umeshindwa Basi stop!!
Sasa we unabisha nini Kwani we munguItakuwa wewe ndo ulimuunguza
Aiseee Yaani Wanjara anendesha DANGURO? Naye Diamond anataka MSAMWANDA KWA BUKU JERO hahaha.Ushaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tape fulani ya Kikosi cha Mizinga ilivuja, ambapo pamoja na mambo mengine, walisikika kina Kala Pina wakimnanga Prof. kwamba "kaungua" kwa sababu ya kujilipua kwa demu supastaa mdangaji. Rashida???
Wewe ni Wanjara au Fidaline Iranga?... hiyo migoma yote kimeo na Frof kapiga sana misele humo...