Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Hongera mkuu Kwa huu umri unaruhusiwa kabisa kugombea kiti cha uraisi wa nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu Ziende Kwa Wanjara ,Don Masha Kitasa Kwenye Bunyero
Hahahha Daaah
 
Wale machoko wa vingunguti hawana kazi mjini zaidi ya Bunyero na kudanga
[emoji23][emoji23][emoji23] diamond ni zaidi ya mswahili imagine " Asa twende kisamugile, sambamba, Hapo vipi inabamba??
Inogile inatamba, basi chanika musamba"
huo mstari nikiusikiaga nachekaga sana sijui anawazaga nini
nenda instagram sasa kamuone huyo Don Masha A.k.A donjeshi


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunyero au Bozemba.. Mfano wake ndio huwa hivi.. Uhuni mtupu!
IMG_20191226_215916.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Naanza na Machoko Chokambaya na mgoroko Dudubaya ,Jay nakuonea huruma najua una miwaya,virusi alivyokupa malaya aliyekufa kule Tanga" - Kalapina Beef 2007


Jay naye kuna mstari aliimba:-

Waliosema nina ngoma wengi tushawazika.
Siku zile BASATA walikuwa poa sana.

Kalapina na Kikosi cha Mizinga walimtukana mpaka Miraji hawakumind mtoto wa Kikwete wala nini.

Na sijasikia wamefungiwa wala nini.

Jaribu leo umtukane mtoto wa Magu uone!
 
Sisi wengine mambo ya siku hizi hayatunogei. Bora tukumbukie ya zamani tu!

Kwa wafuatiliaji wa game hii ya burudani, watakumbuka jinsi Prof Jay alivyokuwa akiburuzwa na penzi la mwanadada sistaduu aliyewahi kuwa Miss Mara, Miss Kanda ya Ziwa na Miss Tanzania (Top 5) miaka hiyo, Rashida Wanjara.

Profesa akiwa mmoja wa wasanii bora sana kipindi hicho, labda tuseme namba 1 kwa upande wa Hiphop, alifikia hatua ya kugombana mpaka na baadhi ya wasanii wenzake pale walipomchana ukweli kuwa huyu dada ni mdangaji tu atakuja kumletea matatizo na kumharibia career yake/heshima aliyonayo.

Kuna tape fulani ya Kikosi cha Mizinga ilivuja, ambapo pamoja na mambo mengine, walisikika kina Kala Pina wakimnanga Prof. kwamba "kaungua" kwa sababu ya kujilipua kwa demu supastaa mdangaji. Rashida???

Tangu hapo, Jay kama alikosa utulivu hivi wa kisaikolojia, ambapo ilipelekea awe anajitetea kwenye kila ngoma anayoachia, akidai anasingiziwa mengi ikiwemo kuwa ameathirika. Wanaofuatiliaga ngoma zake wanajua.

Leo Rashida ni boss wa Bunyero Bunyero. Project fulani hivi ya wasasambuaji wenye misambwanda. Inadaiwa humo ndani anauza mpaka mapunga. Watu wa chimbo za town wanaelewa vizuri. WCB team ni VIP pale!

Haya mambo yalitokea. Huenda sio kwa 100% kama nilivyoeleza lakini yalitokea. Najua wenye kumbukumbu nzuri zaidi watakuja kujazia jazia ili kuweka rekodi sawa.

Ni muhimu vijana wa kileo wakafahamu mambo yalivyo ili wanapoona mtu kama Profesa Jay amefanikiwa kwenye muziki na mambo mengine yakiwemo siasa, waelewe kapitia dhoruba nyingi. Wasichukulie poa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Rashida wanjara alikuwa demu wa Solothang sio Jay.

Demu alie imbwa na kikosi alikuwa Tanga wakati Jay anafanya kazi Vodacom na sio Rashida.

So ur thread is void ab initio
 
Rashida wanjara alikuwa demu wa Solothang sio Jay.

Demu alie imbwa na kikosi alikuwa Tanga wakati Jay anafanya kazi Vodacom na sio Rashida.

So ur thread is void ab initio
Umekosea sana kuhitimisha hivyo mkuu. Nadhani utakuwa umepitiwa tu au una kumbukumbu ambazo sio sahihi.

Rashida Wanjara na Nice Chande ndio mademu mastaa Profesa Jay alitoka nao enzi hizo na haikuwa siri kabisa.

Kuhusu Kikosi kumtaja demu wa Prof. niliiweka kama swali.. Sikusema directly ni Rashida.. So unaweza kuwa sahihi!

Halafu Rashida Wanjara alitajwa kwenye ngoma nyingi sana. Huenda na Solothang alimtaja pia ndio maana umejichanganya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zile BASATA walikuwa poa sana.

Kalapina na Kikosi cha Mizinga walimtukana mpaka Miraji hawakumind mtoto wa Kikwete wala nini.

Na sijasikia wamefungiwa wala nini.

Jaribu leo umtukane mtoto wa Magu uone!
Sasa Miraji mwenyewe si alikuwa msela tu anasponsa kundi la King'oko na kugongea mmea na kina Babuu, Ngwair, Langa etc.

Zipo story aliwahi kutimuliwa home na JK akaenda kuishi geto Kinondoni na kina Kala Pina maisha ya kihuni kabla ya kuzinguana nao!

BASATA ilikuwa bize na TaSUba tu kula hela za wazungu. Haikuwa na time ya kufungiana fungiana [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Wanjara juzi alihojiwa kwny Tv akuulizwa maswali khs Prof J,akasema yale ni mambo ya zamani yalishapita.

So obviously walishakua wapenzi.
Rashida wanjara alikuwa demu wa Solothang sio Jay.

Demu alie imbwa na kikosi alikuwa Tanga wakati Jay anafanya kazi Vodacom na sio Rashida.

So ur thread is void ab initio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Yeye atakua na 40 au 41....

Halafu umeme tangu mwaka 98 mpaka leo 2019 mmh sio kitoto.
 
Back
Top Bottom