Ulimpima?ishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimpima?ishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa mwendo wa full chura😋😋😋Nenda Instagram kwenye page ya maisha club utamkuta Yuko mubashara ,na wasasambuaji kama wote utawaona kwenye mojawapo ya clip.
Bunyero bunyero aka Bozemba nimekutana nayo MAISHA CLUB !!!!
Wale wa VIP ful kuonja raha Bozemba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu Kwa huu umri unaruhusiwa kabisa kugombea kiti cha uraisi wa nchihuyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
[emoji23][emoji23][emoji23] diamond ni zaidi ya mswahili imagine " Asa twende kisamugile, sambamba, Hapo vipi inabamba??
Inogile inatamba, basi chanika musamba"
huo mstari nikiusikiaga nachekaga sana sijui anawazaga nini
nenda instagram sasa kamuone huyo Don Masha A.k.A donjeshi
Sent using Jamii Forums mobile app
The Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale machoko wa vingunguti hawana kazi mjini zaidi ya Bunyero na kudanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zile BASATA walikuwa poa sana."Naanza na Machoko Chokambaya na mgoroko Dudubaya ,Jay nakuonea huruma najua una miwaya,virusi alivyokupa malaya aliyekufa kule Tanga" - Kalapina Beef 2007
Jay naye kuna mstari aliimba:-
Waliosema nina ngoma wengi tushawazika.
Haaa Ukimtukana mtoto wa ANKO siku hiyo hiyo BASHITE anatuma GENGE lake la Wahuni linatuketa.Siku zile BASATA walikuwa poa sana.
Kalapina na Kikosi cha Mizinga walimtukana mpaka Miraji hawakumind mtoto wa Kikwete wala nini.
Na sijasikia wamefungiwa wala nini.
Jaribu leo umtukane mtoto wa Magu uone!
Upo deep kwny kusikiliza mashahiri na kuyaelewa icho kipande nilikuwa nadakia salama kwa wanajara na hapo simba kacharara anataka msambwanda kwa buku jeroUshaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Rashida wanjara alikuwa demu wa Solothang sio Jay.Sisi wengine mambo ya siku hizi hayatunogei. Bora tukumbukie ya zamani tu!
Kwa wafuatiliaji wa game hii ya burudani, watakumbuka jinsi Prof Jay alivyokuwa akiburuzwa na penzi la mwanadada sistaduu aliyewahi kuwa Miss Mara, Miss Kanda ya Ziwa na Miss Tanzania (Top 5) miaka hiyo, Rashida Wanjara.
Profesa akiwa mmoja wa wasanii bora sana kipindi hicho, labda tuseme namba 1 kwa upande wa Hiphop, alifikia hatua ya kugombana mpaka na baadhi ya wasanii wenzake pale walipomchana ukweli kuwa huyu dada ni mdangaji tu atakuja kumletea matatizo na kumharibia career yake/heshima aliyonayo.
Kuna tape fulani ya Kikosi cha Mizinga ilivuja, ambapo pamoja na mambo mengine, walisikika kina Kala Pina wakimnanga Prof. kwamba "kaungua" kwa sababu ya kujilipua kwa demu supastaa mdangaji. Rashida???
Tangu hapo, Jay kama alikosa utulivu hivi wa kisaikolojia, ambapo ilipelekea awe anajitetea kwenye kila ngoma anayoachia, akidai anasingiziwa mengi ikiwemo kuwa ameathirika. Wanaofuatiliaga ngoma zake wanajua.
Leo Rashida ni boss wa Bunyero Bunyero. Project fulani hivi ya wasasambuaji wenye misambwanda. Inadaiwa humo ndani anauza mpaka mapunga. Watu wa chimbo za town wanaelewa vizuri. WCB team ni VIP pale!
Haya mambo yalitokea. Huenda sio kwa 100% kama nilivyoeleza lakini yalitokea. Najua wenye kumbukumbu nzuri zaidi watakuja kujazia jazia ili kuweka rekodi sawa.
Ni muhimu vijana wa kileo wakafahamu mambo yalivyo ili wanapoona mtu kama Profesa Jay amefanikiwa kwenye muziki na mambo mengine yakiwemo siasa, waelewe kapitia dhoruba nyingi. Wasichukulie poa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea sana kuhitimisha hivyo mkuu. Nadhani utakuwa umepitiwa tu au una kumbukumbu ambazo sio sahihi.Rashida wanjara alikuwa demu wa Solothang sio Jay.
Demu alie imbwa na kikosi alikuwa Tanga wakati Jay anafanya kazi Vodacom na sio Rashida.
So ur thread is void ab initio
Sasa Miraji mwenyewe si alikuwa msela tu anasponsa kundi la King'oko na kugongea mmea na kina Babuu, Ngwair, Langa etc.Siku zile BASATA walikuwa poa sana.
Kalapina na Kikosi cha Mizinga walimtukana mpaka Miraji hawakumind mtoto wa Kikwete wala nini.
Na sijasikia wamefungiwa wala nini.
Jaribu leo umtukane mtoto wa Magu uone!
Rashida wanjara alikuwa demu wa Solothang sio Jay.
Demu alie imbwa na kikosi alikuwa Tanga wakati Jay anafanya kazi Vodacom na sio Rashida.
So ur thread is void ab initio
hahahaa huwa siimbagi mziki nisiouelewa aisee.. ndio mana niko makini na mashairiUpo deep kwny kusikiliza mashahiri na kuyaelewa icho kipande nilikuwa nadakia salama kwa wanajara na hapo simba kacharara anataka msambwanda kwa buku jero
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wapenzi tu na kama Rashida asingezingua ndo alikuwa mrs J,J alikuwa haoni wala hasikii.Huyo Wanjara juzi alihojiwa kwny Tv akuulizwa maswali khs Prof J,akasema yale ni mambo ya zamani yalishapita.
So obviously walishakua wapenzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye atakua na 40 au 41....huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?