mtembea kwa miguu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 1,121
- 1,735
Bunyero ni neno katika moja ya lugha za kibantu likimaanisha sehem ya kutolea haja kubwa, sasa hizo sifa za wadada wa bunyero ni shida tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunyero.. Bunyero... Halafu kweli hili neno linasound kama mahali pa kutolea haja kubwa.. We tamka tena bunyero mara kadhaaBunyero ni neno katika moja ya lugha za kibantu likimaanisha sehem ya kutolea haja kubwa, sasa hizo sifa za wadada wa bunyero ni shida tupu
"Miraji Kumbuka haki ulipofukuzwa na Baba yako ghetto kwangu nikakulaki tunashare kiporo cha wali uliobaki,Dingi kushika Ikulu unataka kunishitaki pasina haki?" -KalapinaSasa Miraji mwenyewe si alikuwa msela tu anasponsa kundi la King'oko na kugongea mmea na kina Babuu, Ngwair, Langa etc.
Zipo story aliwahi kutimuliwa home na JK akaenda kuishi geto Kinondoni na kina Kala Pina maisha ya kihuni kabla ya kuzinguana nao!
BASATA ilikuwa bize na TaSUba tu kula hela za wazungu. Haikuwa na time ya kufungiana fungiana [emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah Ebana! Dogori alifariki?! [emoji44][emoji44][emoji44]Au itakua hawakumuelewa marehemu Abbas Dogoli nini kwenye "Funga zipu yako"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh! Una uzee kweli wewe?!Ila Rashida nimeanza kumsikia tangu utoto hadi Sasa na uzee huu bado yupo tu hazeeki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fide kuna kipindi aliugua balaa. Thanks to ARV bado anadunda.Naam kabisa ...Huyo fidelyn iranga alikuwa anaruka nae kinoma..ajabu demu mwenyewe mweusi kama ngozi ya goti
Fide kuna kipindi aliugua balaa. Thanks to ARV bado anadunda.
Aliwashitaki, kuna mstari aliimba" dingi kushika ikulu unanishitaki pa sina haki..." Kilichofata kundi lote likameguka hadi leoSiku zile BASATA walikuwa poa sana.
Kalapina na Kikosi cha Mizinga walimtukana mpaka Miraji hawakumind mtoto wa Kikwete wala nini.
Na sijasikia wamefungiwa wala nini.
Jaribu leo umtukane mtoto wa Magu uone!
Icho kipande kinapatikana mwimbo gani?Ila mond fala sana huyu dogo ni zaidi ya mbunifu na unaweza usimuelewe kama huna connection *****... Ndio leo nimeelewa hicho kipande
Bunyero.. Bunyero... Halafu kweli hili neno linasound kama mahali pa kutolea haja kubwa.. We tamka tena bunyero mara kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Hivi ngoma ni ile ilikua https://jamii.app/JFUserGuide bongo fleva sio eeeh"Miraji Kumbuka haki ulipofukuzwa na Baba yako ghetto kwangu nikakulaki tunashare kiporo cha wali uliobaki,Dingi kushika Ikulu unataka kunishitaki pasina haki?" -Kalapina
Yap Bongo Flavor inaitwa Beef Kalapina kachana na Kikosi wenzake.
Jay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaaUmekosea sana kuhitimisha hivyo mkuu. Nadhani utakuwa umepitiwa tu au una kumbukumbu ambazo sio sahihi.
Rashida Wanjara na Nice Chande ndio mademu mastaa Profesa Jay alitoka nao enzi hizo na haikuwa siri kabisa.
Kuhusu Kikosi kumtaja demu wa Prof. niliiweka kama swali.. Sikusema directly ni Rashida.. So unaweza kuwa sahihi!
Halafu Rashida Wanjara alitajwa kwenye ngoma nyingi sana. Huenda na Solothang alimtaja pia ndio maana umejichanganya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakaa kihasara hasara hata kutwa hujala halafu unataka mademu wakali kama Rashida Wanjara,mademu wazuri bongo tunamega vinara kama we umeshindwa Basi stop!!
yaan katika ule wimbo napenda verse hii tu,sema nilikuwa simjui huyo Don Masha ni nani,ngoja nimtafute insta hukoUshaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo handsome. Inaitwa Watasimuliwa.Prince Dully Sykes Verses
Handsome!!!!!!