Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Sasa Miraji mwenyewe si alikuwa msela tu anasponsa kundi la King'oko na kugongea mmea na kina Babuu, Ngwair, Langa etc.

Zipo story aliwahi kutimuliwa home na JK akaenda kuishi geto Kinondoni na kina Kala Pina maisha ya kihuni kabla ya kuzinguana nao!

BASATA ilikuwa bize na TaSUba tu kula hela za wazungu. Haikuwa na time ya kufungiana fungiana [emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
"Miraji Kumbuka haki ulipofukuzwa na Baba yako ghetto kwangu nikakulaki tunashare kiporo cha wali uliobaki,Dingi kushika Ikulu unataka kunishitaki pasina haki?" -Kalapina
 
Siku zile BASATA walikuwa poa sana.

Kalapina na Kikosi cha Mizinga walimtukana mpaka Miraji hawakumind mtoto wa Kikwete wala nini.

Na sijasikia wamefungiwa wala nini.

Jaribu leo umtukane mtoto wa Magu uone!
Aliwashitaki, kuna mstari aliimba" dingi kushika ikulu unanishitaki pa sina haki..." Kilichofata kundi lote likameguka hadi leo
Ila ndio hivyo kesi za kisanii huwa zinaisha kisanii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?

Mimi nimesoma nae darasa moja mkuu namjua nje ndani akiwa shule..enzi zile maconcert ya shule walikuwa na group la 3 walikuwa wanajiita TLC kama lile group kina dada wa marekani. Huyo mwenzie anaitwa Vicky sijui kama bado yupo hai.
Enzi za shule alikuwa maarufu Kajala alikuwa bado yupo form 1 nae anachipukia.
Kwenye suala la umri inaweza akawa anagonga kati ya 38-40 nafikiri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umekosea sana kuhitimisha hivyo mkuu. Nadhani utakuwa umepitiwa tu au una kumbukumbu ambazo sio sahihi.

Rashida Wanjara na Nice Chande ndio mademu mastaa Profesa Jay alitoka nao enzi hizo na haikuwa siri kabisa.

Kuhusu Kikosi kumtaja demu wa Prof. niliiweka kama swali.. Sikusema directly ni Rashida.. So unaweza kuwa sahihi!

Halafu Rashida Wanjara alitajwa kwenye ngoma nyingi sana. Huenda na Solothang alimtaja pia ndio maana umejichanganya!

Sent using Jamii Forums mobile app
Jay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaa
 
Back
Top Bottom