Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
Kuna nini?The Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini?The Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahh...Hayo ya sijui nani ana ngoma hayatuhusu sisi wengine, ushatuambia bunyero kuna msambwanda wa buku jero basi toa location tujipange hatukawii sisi
ukipewa nijuze mkuu nikapate hudumaBunyero bunyero address kamili iko wp!!?
hatutaki shida sisi
Kawauza kina Odemba ,Kiwia na alikua anawalea nyumbani kwake ukifukuzwa kwenu anakupokea mradi utoe papa kwa madon
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huyo shida sikumbuki maana enzi hizo jitegemee jitegemee kweli, ila kajala alikuwa maarufu sana jitegemee maana mi naingia form one yeye yupo form three na kina Daz nundaz na tayari walikuwa maarufu sana shuleni hapo.Mimi nimesoma nae darasa moja mkuu namjua nje ndani akiwa shule..enzi zile maconcert ya shule walikuwa na group la 3 walikuwa wanajiita TLC kama lile group kina dada wa marekani. Huyo mwenzie anaitwa Vicky sijui kama bado yupo hai.
Enzi za shule alikuwa maarufu Kajala alikuwa bado yupo form 1 nae anachipukia.
Kwenye suala la umri inaweza akawa anagonga kati ya 38-40 nafikiri.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Waliachana Rashida alitoroka na mshikaji mmoja hivi mamton mpk alipagawa Mzee baba nusu awe chizi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Katoka na profesa jay huyo mbishi tuWell said. Na haikuwahi kusikika kuwa yupo na Solothang. Prof. Jay ndio kila mtu alijua kwa sababu hawakufanya kwa siri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa inaonyesha aliipenda sana hiyo kazi!!!
Duh!!!Kawauza kina Odemba ,Kiwia na alikua anawalea nyumbani kwake ukifukuzwa kwenu anakupokea mradi utoe papa kwa madon
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ghafla uzi umebadilika upepo, inaanza kujadiliwa hoja yako Badala alichokileta mleta uzi😀ishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulimuunguza wwishu ya prof. kuungua ni ya kweli.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Au ndo kuna picha za mijimama minene naonaga mitandaoniThe Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunyero bunyero address kamili iko wp!!?
hatutaki shida sisi
Mungu akuweke kwa kunifunguaUshaambiwa "salamu ziende kwa Wanjara,Don Masha kitasa kwenye bunyero Mwambie Simba kacharara anataka Msambwanda kwa buku jero"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha