Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huruhusiwi kupiga picha tangazo la ukikamatwa na kisimu chako unarekodi utakuwa asusa ya nabaunsaBunyero Bunyero maisha club(mwenge) kila j5 kiingilio buku 10, mzee ni shida. Kama hujawahi kuona papuchi live bila chenga tena hadharani nenda j5 ijayo utakuja uhadithie humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule kaungua yule.Juzi kwenye kipindi cha ongea na Salama sijui kinaitwa hivyo. Prof Jize mdomo wake ni kama una vidonda au ameungua na pombe kali?
Yasemwayo yapo si ya kupuuzwa kabisa.Yule kaungua yule.
ndo huyo anatoka Tanga.Kalapina aliwahi kumchanaSisi wengine mambo ya siku hizi hayatunogei. Bora tukumbukie ya zamani tu!
Kwa wafuatiliaji wa game hii ya burudani, watakumbuka jinsi Prof Jay alivyokuwa akiburuzwa na penzi la mwanadada sistaduu aliyewahi kuwa Miss Mara, Miss Kanda ya Ziwa na Miss Tanzania (Top 5) miaka hiyo, Rashida Wanjara.
View attachment 1307013
Profesa akiwa mmoja wa wasanii bora sana kipindi hicho, labda tuseme namba 1 kwa upande wa Hiphop, alifikia hatua ya kugombana mpaka na baadhi ya wasanii wenzake pale walipomchana ukweli kuwa huyu dada ni mdangaji tu atakuja kumletea matatizo na kumharibia career yake/heshima aliyonayo.
Kuna tape fulani ya Kikosi cha Mizinga ilivuja, ambapo pamoja na mambo mengine, walisikika kina Kala Pina wakimnanga Prof. kwamba "kaungua" kwa sababu ya kujilipua kwa demu supastaa mdangaji. Rashida???
Tangu hapo, Jay kama alikosa utulivu hivi wa kisaikolojia, ambapo ilipelekea awe anajitetea kwenye kila ngoma anayoachia, akidai anasingiziwa mengi ikiwemo kuwa ameathirika. Wanaofuatiliaga ngoma zake wanajua.
View attachment 1307014
Leo Rashida ni boss wa Bunyero Bunyero. Project fulani hivi ya wasasambuaji wenye misambwanda. Inadaiwa humo ndani anauza mpaka mapunga. Watu wa chimbo za town wanaelewa vizuri. WCB team ni VIP pale!
Haya mambo yalitokea. Huenda sio kwa 100% kama nilivyoeleza lakini yalitokea. Najua wenye kumbukumbu nzuri zaidi watakuja kujazia jazia ili kuweka rekodi sawa.
Ni muhimu vijana wa kileo wakafahamu mambo yalivyo ili wanapoona mtu kama Profesa Jay amefanikiwa kwenye muziki na mambo mengine yakiwemo siasa, waelewe kapitia dhoruba nyingi. Wasichukulie poa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa wa Mara unaeleweka kwenye Vyombo vya Ulinzi Sasa hili la Miss tumuachie Prof atalitolea ufafanuziSisi wengine mambo ya siku hizi hayatunogei. Bora tukumbukie ya zamani tu!
Kwa wafuatiliaji wa game hii ya burudani, watakumbuka jinsi Prof Jay alivyokuwa akiburuzwa na penzi la mwanadada sistaduu aliyewahi kuwa Miss Mara, Miss Kanda ya Ziwa na Miss Tanzania (Top 5) miaka hiyo, Rashida Wanjara.
View attachment 1307013
Profesa akiwa mmoja wa wasanii bora sana kipindi hicho, labda tuseme namba 1 kwa upande wa Hiphop, alifikia hatua ya kugombana mpaka na baadhi ya wasanii wenzake pale walipomchana ukweli kuwa huyu dada ni mdangaji tu atakuja kumletea matatizo na kumharibia career yake/heshima aliyonayo.
Kuna tape fulani ya Kikosi cha Mizinga ilivuja, ambapo pamoja na mambo mengine, walisikika kina Kala Pina wakimnanga Prof. kwamba "kaungua" kwa sababu ya kujilipua kwa demu supastaa mdangaji. Rashida???
Tangu hapo, Jay kama alikosa utulivu hivi wa kisaikolojia, ambapo ilipelekea awe anajitetea kwenye kila ngoma anayoachia, akidai anasingiziwa mengi ikiwemo kuwa ameathirika. Wanaofuatiliaga ngoma zake wanajua.
View attachment 1307014
Leo Rashida ni boss wa Bunyero Bunyero. Project fulani hivi ya wasasambuaji wenye misambwanda. Inadaiwa humo ndani anauza mpaka mapunga. Watu wa chimbo za town wanaelewa vizuri. WCB team ni VIP pale!
Haya mambo yalitokea. Huenda sio kwa 100% kama nilivyoeleza lakini yalitokea. Najua wenye kumbukumbu nzuri zaidi watakuja kujazia jazia ili kuweka rekodi sawa.
Ni muhimu vijana wa kileo wakafahamu mambo yalivyo ili wanapoona mtu kama Profesa Jay amefanikiwa kwenye muziki na mambo mengine yakiwemo siasa, waelewe kapitia dhoruba nyingi. Wasichukulie poa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi nimeona mahala fulani habari zake kwamba anaumwa sana yupo ICUNimeona kigogo kampost Jay kuwa yuko hoi ICU anaumwa hajitambui.
Dah hatari sana, tumuombee uzima tu JamaniiNimeona kigogo kampost Jay kuwa yuko hoi ICU anaumwa hajitambui.
Mkuu mambo ya daslamu hayo bado kuna neno bunyero sijui ni nini?!Wasasambuaji ni watu gani?
Hapana ijumaa tulikuwa nae mahakamani kwenye kesi ya mboweNa mimi nimeona mahala fulani habari zake kwamba anaumwa sana yupo ICU
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
ICU watu wanatakiwa wapelekwe kule siku gani?Hapana ijumaa tulikuwa nae mahakamani kwenye kesi ya mbowe
Hivi hadi bado pako mara ya mwisho nimeenda 2020 ni pana balaa.. watoto wamotooooThe Life Park (zamani maisha club) mwenge ilipokua century cinemax zamani. Kila Jumatano kiingilio elfu 10,000.
Sent using Jamii Forums mobile app