Hivi iliyofuzu AFCON 2024 Jana nchini Algeria ni Taifa Stars au Rais Samia?

Hivi iliyofuzu AFCON 2024 Jana nchini Algeria ni Taifa Stars au Rais Samia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kama Jibu ni Taifa Stars sasa kwanini kila Kiongozi akizungumza baada ya Kufuzu AFCON Jana anatumia Sekunde 20 Kuipongeza, ila anatumia Dakika Saba ( 7 ) hadi Kumi ( 10 ) Kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan?

Leo GENTAMYCINE nawachana Live ( Mubashara ) nyie Viongozi wote wa Serikali wa Ngazi zozote kuwa Mnaboa kwa Kujipendekeza Kwenu kila mara Kumsifu Rais Samia na nina uhakika hata Yeye pia anaboreka nanyi na huenda hata Kimoyomoyo huwa anawaita Wapumbavu ( Mapopoma ) japo Machoni atajifanya anawapeni Tabasamu lake la Kizanzibari.

Nirudi Kwako Rais Samia Suluhu Hassan tafadhali nikuombe Zuia hii Viongozi wako Kujifanya Wanakusifia na Kukuabudu kwa kila Tukio Chanya kwani ndiyo hawa hawa Siku Ukistaafu na akija Rais Mwingine watakuhama, watakusema vibaya, watakuchafua na Kukudharau huku wakiwa Wanamsifia tena Kinafiki huyo Rais ambaye atakuja baada yako.

Nimalizie tu kwa nyie Viongozi Majuha na Wanafiki mnaopenda Kujipendekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku mkijifanya mnamsifia hadi Kumlamba Miguu yake kuwa iliyofuzu AFCON Jana ni Taifa Stars ya Watanzania na siyo Rais Samia Suluhu Hassan wenu sawa?

Taifa Stars ni ya Watanzania wote na siyo ya Rais Samia Suluhu Hassan peke yake. GENTAMYCINE naheshimu Mchango wake na Serikali yake lakini ni Upumbavu ( Upopoma ) usiovumilika Kulazimisha Akili ( Fikra ) zetu Watu wenye Upeo mkubwa duniani kuwa Mafanikio ya Timu kwa 99.9% yametokana na Yeye ( Rais Samia ) wakati kila Mtanzania kwa upande wake Kafanya alichokiweza na hatimaye AFCON ya mwakani ( 2024 ) nasi Tanzania tutakuwepo / tupo.

Kusema Ukweli Kwangu NI Tunu Kuu.
 
Na kama Jibu ni Taifa Stars sasa kwanini kila Kiongozi akizungumza baada ya Kufuzu AFCON Jana anatumia Sekunde 20 Kuipongeza, ila anatumia Dakika Saba ( 7 ) hadi Kumi ( 10 ) Kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan?

Leo GENTAMYCINE nawachana Live ( Mubashara ) nyie Viongozi wote wa Serikali wa Ngazi zozote kuwa Mnaboa kwa Kujipendekeza Kwenu kila mara Kumsifu Rais Samia na nina uhakika hata Yeye pia anaboreka nanyi na huenda hata Kimoyomoyo huwa anawaita Wapumbavu ( Mapopoma ) japo Machoni atajifanya anawapeni Tabasamu lake la Kizanzibari.

Nirudi Kwako Rais Samia Suluhu Hassan tafadhali nikuombe Zuia hii Viongozi wako Kujifanya Wanakusifia na Kukuabudu kwa kila Tukio Chanya kwani ndiyo hawa hawa Siku Ukistaafu na akija Rais Mwingine watakuhama, watakusema vibaya, watakuchafua na Kukudharau huku wakiwa Wanamsifia tena Kinafiki huyo Rais ambaye atakuja baada yako.

Nimalizie tu kwa nyie Viongozi Majuha na Wanafiki mnaopenda Kujipendekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku mkijifanya mnamsifia hadi Kumlamba Miguu yake kuwa iliyofuzu AFCON Jana ni Taifa Stars ya Watanzania na siyo Rais Samia Suluhu Hassan wenu sawa?

Taifa Stars ni ya Watanzania wote na siyo ya Rais Samia Suluhu Hassan peke yake. GENTAMYCINE naheshimu Mchango wake na Serikali yake lakini ni Upumbavu ( Upopoma ) usiovumilika Kulazimisha Akili ( Fikra ) zetu Watu wenye Upeo mkubwa duniani kuwa Mafanikio ya Timu kwa 99.9% yametokana na Yeye ( Rais Samia ) wakati kila Mtanzania kwa upande wake Kafanya alichokiweza na hatimaye AFCON ya mwakani ( 2024 ) nasi Tanzania tutakuwepo / tupo.

Kusema Ukweli Kwangu NI Tunu Kuu.
Utaambiwa yeye ndo shabiki No.1 sijui tulishindanishwa lini kupata namba moja Hadi wa mwisho? Ni Uchawa mchundo uliopitiliza.
 
Na kama Jibu ni Taifa Stars sasa kwanini kila Kiongozi akizungumza baada ya Kufuzu AFCON Jana anatumia Sekunde 20 Kuipongeza, ila anatumia Dakika Saba ( 7 ) hadi Kumi ( 10 ) Kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan?

Leo GENTAMYCINE nawachana Live ( Mubashara ) nyie Viongozi wote wa Serikali wa Ngazi zozote kuwa Mnaboa kwa Kujipendekeza Kwenu kila mara Kumsifu Rais Samia na nina uhakika hata Yeye pia anaboreka nanyi na huenda hata Kimoyomoyo huwa anawaita Wapumbavu ( Mapopoma ) japo Machoni atajifanya anawapeni Tabasamu lake la Kizanzibari.

Nirudi Kwako Rais Samia Suluhu Hassan tafadhali nikuombe Zuia hii Viongozi wako Kujifanya Wanakusifia na Kukuabudu kwa kila Tukio Chanya kwani ndiyo hawa hawa Siku Ukistaafu na akija Rais Mwingine watakuhama, watakusema vibaya, watakuchafua na Kukudharau huku wakiwa Wanamsifia tena Kinafiki huyo Rais ambaye atakuja baada yako.

Nimalizie tu kwa nyie Viongozi Majuha na Wanafiki mnaopenda Kujipendekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku mkijifanya mnamsifia hadi Kumlamba Miguu yake kuwa iliyofuzu AFCON Jana ni Taifa Stars ya Watanzania na siyo Rais Samia Suluhu Hassan wenu sawa?

Taifa Stars ni ya Watanzania wote na siyo ya Rais Samia Suluhu Hassan peke yake. GENTAMYCINE naheshimu Mchango wake na Serikali yake lakini ni Upumbavu ( Upopoma ) usiovumilika Kulazimisha Akili ( Fikra ) zetu Watu wenye Upeo mkubwa duniani kuwa Mafanikio ya Timu kwa 99.9% yametokana na Yeye ( Rais Samia ) wakati kila Mtanzania kwa upande wake Kafanya alichokiweza na hatimaye AFCON ya mwakani ( 2024 ) nasi Tanzania tutakuwepo / tupo.

Kusema Ukweli Kwangu NI Tunu Kuu.
JamiiForums1287949853.jpg
 
Tunamshukuru Mama Samia kwa Taifa Stars kufuzu AFCON. Mama anaupiga mwingi. Hakika hiki ni kishindo cha awamu ya sita.
 
Jana tena baada ya nchi za Afrika mashariki kupewa nafasi kuandaa afcon 2027 badala ya kupongeza viongozi wa mpira wa nchi zote tatu anaye pongezwa ni mama.
Uchawa ni upumbavu.
 
tz huitaji vyeti ili uishi jipendekeze tu inatosha..!! toka nlivyosikia wakizindua ikuru ya dodoma nkasikia wanasema mama ndo kajenga nkasikitika sana
 
Back
Top Bottom