HIVI INACHUKUA MDA GANI MPAKA UTAKE TENA

HIVI INACHUKUA MDA GANI MPAKA UTAKE TENA

Mhh...
Unamlisha vzr...?,
Km unamlisha mabaki lazima uwekewe kiwango..., unamiandaa ki phychologia kabla.. au unarukia km unapanda guta...
Kk hivi vitu havina formula... inategemea ntu na ntu... kuna watu hyo nne ni ndan ya siku...

We ongeza care af uone tofauti...
Ila na ww kula ss usidhanie pool table lile..!
Anakula vizuri, sipandi guta nafanya maandalizi zaidi ya dakika 45 mixer uvinza 😛.
 
Guys, ukiwa na girfriend wako uka do nae inatakuwa u do nae tena baada ya mda gani, maana huyu wangu namuomba kwa wiki mara 4 anasema nampleka sana na hata sijamuoa, nikioa si ndio atakuwa hafanyi kazi zingine ni kunipa tu. Ndio nawaza mda gan upite ili mtu asione uko na ugwadu sana
vichocheo vyako vya mwili vikibalance au kupungua hutakua na hulka kama ulizonazo sasa, yapo mambo utayapa kipaumbele zaid ya hilo
 
vichocheo vyako vya mwili vikibalance au kupungua hutakua na hulka kama ulizonazo sasa, yapo mambo utayapa kipaumbele zaid ya hilo
Mambo gani tena ndugu ya muhimu kuliko hilo. Wanaume wote tunapambana kwa ajili ya hilo. Vijana wanaosoma leo wanaamini elimu itawapa maisha yatayowapa wanawake wazuri, Kiufupi wanaume wote lengo ni moja tu. Kupata pesa uopoe mke.
 
Mambo gani tena ndugu ya muhimu kuliko hilo. Wanaume wote tunapambana kwa ajili ya hilo. Vijana wanaosoma leo wanaamini elimu itawapa maisha yatayowapa wanawake wazuri, Kiufupi wanaume wote lengo ni moja tu. Kupata pesa uopoe mke.
sawa nyie wanaume wenye lango moja
 
Back
Top Bottom