ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 447
Kilo Moja ya dagaa mtakula zaidi ya siku 5.ila nyama huwezi kula zaidi ya siku 1kwa hyo kg 1Habari zenu,
Miaka ya nyuma tulizoea kuwa dagaa ni mboga ya watu wa hali ya chini lakini nimeshangaa sehemu ninayoishi kwa sasa nyama ndio imekuwa mboga watu wa hali ya chini tunaweza kuimudu.
Mfano huku kwetu 1kg ya nyama ya ng'ombe ni tsh 6,500/= wakati kilo ya dagaa ni tsh 10,000/=, samaki 11,000/=.
Imekuaje dagaa wamepanda bei ghafla?