Hivi inakuaje gari namba C halafu mile-age ni ndogo sana

Hivi inakuaje gari namba C halafu mile-age ni ndogo sana

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Wa Tz sijui kwanini tunapima ubora na uimara wa gari kwa kuangalia namba ya usajili! Njia nzuri mtafute fundi umpeleke akusaidie kulikagua, akikwambia liko poa nunua
 
Kwani hiyo c sinierufitu au inamaanisha kuna A.B.C.D kwenye Magari???
Hiz heruf znaweza kukuambia umri wa gar kwa maana,ina mda gan toka imesajiliwa,mfano A,ni ya mda mref na D is almost current,pia mile age itasema kama hii gar imetumika saaana,..sasa mim hii gar ni ya mda ila haijatumika sana,sasa ndo sjaelewa scenario hii.anyways ngoja nijue nafanya nin
 
kuna mambo matatu ambayo kwa ufahamu wangu yanaweza kutokea;

1) Halijatumika sana
- Ni kweli kuna magari yamesajiliwa muda mrefu lakini halikutumika sana yaani halikuwa na routes nyingi na pengine alinunua Japan likiwa na km mfano 30000, na yy hana matumizi makubwa hvyo kwa mwaka anatumia km zisizozidi 10000 hvyo kwa miaka minne(namba C zilianza miaka minne iliyopita) akatumia km 40000 ukijumlisha na alizonununila ndo inafika hyo 70000

2) Limechezewa
- Yawezekana mileage hadi sasa ipo chini kwa kuwa lilirudishwa nyuma, na wengi hufanya huu mchezo ili engine ionekana bado ipo vzuri haijatumika sana.

3) Limefungwa Engine Mpya
- inawezekana lilifungwa engine mpya hvyo likaanza na moja
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz

kuna gari moja nilikuwa naiona sehemu almost imepaki muda wote,mwenyewe anafanya kazi na kuishi jengo hilo hilo,inatembea akienda sokoni ambako hakuna umbali wowote au labda weekend akienda kunywa bia bar!!gari kama ile inaweza kuwa hata namba A ni mileage zikawa chache!hata wahindi wa kisutu magari yao wanapanda wakienda coco beach usiku!!
 
kuna gari moja nilikuwa naiona sehemu almost imepaki muda wote,mwenyewe anafanya kazi na kuishi jengo hilo hilo,inatembea akienda sokoni ambako hakuna umbali wowote au labda weekend akienda kunywa bia bar!!gari kama ile inaweza kuwa hata namba A ni mileage zikawa chache!hata wahindi wa kisutu magari yao wanapanda wakienda coco beach usiku!!
Kuna gari nimeitumia ni namba A ya 2007 ilikuja na km 60,000 toka Japan.Leo Ina km 90,000.
Ni kweli kuna magari yamesajiliwa zamani Ila mileage ndogo bado.
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Kama ilikuwa imepaki tu mileage zitaongezekaje, acha usumbufu na maswali yako. Unanunua gari kwa herufi
 
kuna jamaa yangu yake ni namba a lakini ndiyo iko kwenye 110k maana ni upanga to kitumbini kila siku.
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Weka picha hapa tukuambie. ni aina gani ya gari na unauziwa hela ngapi? unaweza kupigwa mchana.
1. namba ni indicator ya kwanza kuwa hilo gari limesajiliwa mwaka 2013 kwenda mbele. shtuka.
2. mileage ya 70000 kwa gari lilotumika is highly questionable. mie ukiniletea gari la mileage ya 435000 naweza kuirudia mpaka 35011
3. ukizingatia unanunua mkononi ndo kabsaaaa kaa mbali
4. kuhusu kuleta fundi ndo unaweza kupigwa vizuri maana fundi anaweza kuzunguka na muuzaji wakakupiga wote
 
Hiz heruf znaweza kukuambia umri wa gar kwa maana,ina mda gan toka imesajiliwa,mfano A,ni ya mda mref na D is almost current,pia mile age itasema kama hii gar imetumika saaana,..sasa mim hii gar ni ya mda ila haijatumika sana,sasa ndo sjaelewa scenario hii.anyways ngoja nijue nafanya nin
Wakati mwingine mtu ana magari 4, kwa hiyo hawezi kuendesha gari hilo hilo kila siku,
wengine wahindi wanakaa ghorofani gari inapaki chini wakitoka jamatini au beach mara moja moja, watoto wanaenda Indian school na school bus what do you expect?
 
Kama unaogopa kupigwa....piga weweeee...AGIZA GARI JAPANI AU KAMA VIP D.T. DOBIE BADO HAPAJAFUNGWA.
 
kuna gari moja nilikuwa naiona sehemu almost imepaki muda wote,mwenyewe anafanya kazi na kuishi jengo hilo hilo,inatembea akienda sokoni ambako hakuna umbali wowote au labda weekend akienda kunywa bia bar!!gari kama ile inaweza kuwa hata namba A ni mileage zikawa chache!hata wahindi wa kisutu magari yao wanapanda wakienda coco beach usiku!!
Mkuu umeiweka vizuri sana. Kuna mtu gari yake inawashwa J'pili kwa J'pili kuendea kanisani tu. Sasa hiyo hadi ije kusoma mileage 'ifananayo' na plate number yake sio leo. Ubora wa chombo ni zaidi ya mileage
 
Binafsi nilinunua gari namba A, mwaka 2012 mwishoni, kwa mtu ambaye alikuwa na gari 5. Nilikuta ina km 73,000+. Ila mpk sasa ina 145k.

Sina safari nyingi za kutumia private car, ni mizunguko ya town tu.
 
Wengine vibosile ofisi za serikali, kilasiku anafatwa na gari home, nimeshuhudia vibosile wengine hadi kwenda church anatumia gari ya serikali, hiyo gari yake anaitumia kuendea harusini tu
 
Weka picha hapa tukuambie. ni aina gani ya gari na unauziwa hela ngapi? unaweza kupigwa mchana.
1. namba ni indicator ya kwanza kuwa hilo gari limesajiliwa mwaka 2013 kwenda mbele. shtuka.
2. mileage ya 70000 kwa gari lilotumika is highly questionable. mie ukiniletea gari la mileage ya 435000 naweza kuirudia mpaka 35011
3. ukizingatia unanunua mkononi ndo kabsaaaa kaa mbali
4. kuhusu kuleta fundi ndo unaweza kupigwa vizuri maana fundi anaweza kuzunguka na muuzaji wakakupiga wote
Ni spacio model mpya.
 
Kama unaogopa kupigwa....piga weweeee...AGIZA GARI JAPANI AU KAMA VIP D.T. DOBIE BADO HAPAJAFUNGWA.
Aah hapana,siagiz gar na dt dobie siend,nshaagiza gar halaf naona mule mule tuu,haina tofaut na anaekata bima ya comprehensive na yule wa ya chin ambae anaendesha kwa uangalif na hapat ajal..ingawa risk ni kubwa.nagawana umaskin nawenzangu huku huku mtaan,
 
Back
Top Bottom