Hivi inakuaje gari namba C halafu mile-age ni ndogo sana

Hivi inakuaje gari namba C halafu mile-age ni ndogo sana

Nilishaona mark x ina km 461,000 na ukiiona kama mpya vile na mwenye nayo hakubali kuiuza hata kwa dawa.
 
Aah hapana,siagiz gar na dt dobie siend,nshaagiza gar halaf naona mule mule tuu,haina tofaut na anaekata bima ya comprehensive na yule wa ya chin ambae anaendesha kwa uangalif na hapat ajal..ingawa risk ni kubwa.nagawana umaskin nawenzangu huku huku mtaan,
Kitendee haki Kiswahili
 
Wa Tz sijui kwanini tunapima ubora na uimara wa gari kwa kuangalia namba ya usajili! Njia nzuri mtafute fundi umpeleke akusaidie kulikagua, akikwambia liko poa nunua
Nilishawahi kununua gari kwa kumtumia Fundi kumbe Fundi wangu alinizunguka na huyo muuzaji wakala dili nikanunua gari bovu Fundi ananidanganya kuwa Nzuri. Baadaye nilipata taarifa alitumiwa mgao
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Hiyo gari ulikuwa haitumiki !
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Kuna wajanja wanapunguza Mkuu unaweza kuta km iliyokuwa awali kama barabara ipo basi kamefika mbinguni
 
Hiz heruf znaweza kukuambia umri wa gar kwa maana,ina mda gan toka imesajiliwa,mfano A,ni ya mda mref na D is almost current,pia mile age itasema kama hii gar imetumika saaana,..sasa mim hii gar ni ya mda ila haijatumika sana,sasa ndo sjaelewa scenario hii.anyways ngoja nijue nafanya nin
Umri wa gari aukupi ubovu wa gari !! Kuna gari ni za Juzi lakini azitizamiki. Gari ni matunzo, linaweza kuwa na no D alafu unakuta kumbe ndio zile gari zimeinhia barabarani kwa msamaa wa "motor vehicles "
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Inawezekana hizo km ni halali yake lakini pia inawezekana imechakachuliwa kwa wanafanyaga gerezani
 
Usinunue gari kwa herufi. WazanzibarI wanatumia gari kwao wakizichoka wanazileta bara wanasajili namba current (kwa namba za bara) na unauziwa potential skrepa huku unatabasamu
Bonge la point aisee.
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Siku hizi wanarekebisha hizo kilomita mkuu, chakufanya angalia tu kwa macho kama inakufaa kwa matumizi basis.
 
Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Binafsi nadhani mojawapo katika haya yanaweza sababusha gari ikawa na kilometa chache
1. Halijatumika sana...
Hii inaweza sababishwa na mwenye gari kuwa na magari mengi, au ana gari ya ofisini inayomfikisha kila atakapo hivyo kupelekea gari yenye kilometa chache kuwa imepaki muda mrefu

2. Kilometer kuchezewa
Kuna kamchezo ka kurudisha kilometer nyuma. Watu wanacheza na system inayohesabu kilometa na hivyo kuzipunguza ili kujenga imani kwenye upye wa gari kwa mnunuaji

3. Engine kubadirishwa
Unaweza kuta mtu kabadili engine na hivyo akaamua kuweka kilometa kulingana na engine mpya (hapa inafanana na kuchezewa kilometa)
 
Back
Top Bottom