kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Lete gari yako nikurekebishie mileage unayotaka ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alikuwa hatembei nayo sana au ilikuwa imepata ajali ikawa haitembei au alininunua km zikiwa chini sana eg 25000Wakuu kuna ka gar flan hapa nipo kwenye ku negotiate,.namba C ila sasa mile age ni 70000,body nzuri,.ila sasa mmh,..na bei sio kivile sana,kawaida,na sio yard...msaada puliz
Hiz heruf znaweza kukuambia umri wa gar kwa maana,ina mda gan toka imesajiliwa,mfano A,ni ya mda mref na D is almost current,pia mile age itasema kama hii gar imetumika saaana,..sasa mim hii gar ni ya mda ila haijatumika sana,sasa ndo sjaelewa scenario hii.anyways ngoja nijue nafanya nin
Binafsi nilinunua gari namba A, mwaka 2012 mwishoni, kwa mtu ambaye alikuwa na gari 5. Nilikuta ina km 73,000+. Ila mpk sasa ina 145k.
Sina safari nyingi za kutumia private car, ni mizunguko ya town tu.
Ndugu hamna namna unaweza chakachua odometer ya gari.Kuna uchakachuaji wa mileage sikuhizi..