DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Elimu ya Bongo Ni maaajabu sana hivi Mtu unashindwaje kuzungumza lugha ya Kingereza kwa Ufasaha na kuandika.
Yule Rais wa Kanda ya ziwa na yeye alikuwa miongoni Mwao anasema tupo na PhD lakini hata kuongea sentensi moja ya Kingereza alikuwa hawezi.
Mtu ukijiita Msomi hakikisha unajua kuongea na kuandika fluently kizungu.
Hatuitaji degrees za chupi.
Yule Rais wa Kanda ya ziwa na yeye alikuwa miongoni Mwao anasema tupo na PhD lakini hata kuongea sentensi moja ya Kingereza alikuwa hawezi.
Mtu ukijiita Msomi hakikisha unajua kuongea na kuandika fluently kizungu.
Hatuitaji degrees za chupi.