Hivi inakuaje kwenye sherehe za harusi Kwa wazazi waliotengana?

Hivi inakuaje kwenye sherehe za harusi Kwa wazazi waliotengana?

Taitu2024

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2024
Posts
244
Reaction score
295
Kwanza nitoe pongezi ziende Kwa wazazi wote pastor John shusho na Christina shusho Katika sherehe ya kumuaga binti Yao wa kwanza .. swali hivi wazazi wakitengana nani ana haki ya kusimamia shughuli za kumuoza Binti na je vipi kuhusu kuwapa nafasi ndugu wa pande zote... Mimi naona Kuna haha ya wazazi kutowahusisha watoto kwenye maugomvi yao
 

Attachments

  • MANENO_YA_CHRISTINA_SHUSHO_NA_MUMEWE_KWENYE_SEND_OFF_YA_BINTI_YAO_WA_KWANZA_ODESIA_SHUSHO.(480p).mp4
    5.2 MB
Wanajikaza hivohivo kama wazazi shughuli iende.ikiisha Kila mtu kwaheri.
Btw Cristina alimuhusia Nini Binti yake hapo?
 
Ni mtoto husika anakuwa kwenye wakati mgumu tu.

Kuna wimbo wa zamani unaimba;

''wazazi wangu baba na mama mnaniaibisha, kila siku kugombana gombana sio vizurii!, Ee!''
Kinyankulu betabeta...betabeta
Umenikumbusha mbali🤣
 
swali hivi wazazi wakitengana nani ana haki ya kusimamia shughuli za kumuoza Binti na je vipi kuhusu kuwapa nafasi ndugu wa pande zote...
Mkuu, hii ni haki na jukumu la baba mzazi, iwe mmetengana au la. Na kwa sheria za kimila zilizochapwa rasmi na serikali yetu Tanzania zinaelekeza kuwa mahari inatakiwa ipelekwe kwa baba mzazi wa binti.

Na kama baba mzazi hayupo (amekufa) basi baba mkubwa, na kama wote wamekufa basi iende kwa kaka mkubwa kuzaliwa wa huyo muolewaji, na ikiwa hawapo ndio inakuja ujombani sasa.
 
Binti kaolewa na mimba kubwa tu da Tina hataki hata kumposti bintiye
 

Attachments

  • Screenshot_20240729-170242_3.jpg
    Screenshot_20240729-170242_3.jpg
    281.4 KB · Views: 8
Mkuu, hii ni haki na jukumu la baba mzazi, iwe mmetengana au la. Na kwa sheria za kimila zilizochapwa rasmi na serikali yetu Tanzania zinaelekeza kuwa mahari inatakiwa ipelekwe kwa baba mzazi wa binti.

Na kama baba mzazi hayupo (amekufa) basi baba mkubwa, na kama wote wamekufa basi iende kwa kaka mkubwa kuzaliwa wa huyo muolewaji, na ikiwa hawapo ndio inakuja ujombani sasa.
Kabila gani hilo?
 
Back
Top Bottom