Hivi inakuaje kwenye sherehe za harusi Kwa wazazi waliotengana?

Hivi inakuaje kwenye sherehe za harusi Kwa wazazi waliotengana?

Mtoto sura ya baba,pamoja na kupaka makeup lkn kakomaa,limama lake lizuri kinoma!
Bahati mbaya sana shusho mchoyo ameshindwa kurithisha beauty Kwa wanae wote yawezekana kweli hakumpenda Mzee shusho ndo maana kakataa hata kujizaa.. Kwa mantiki hiyo binti atatulia kwenye ndoa maana Hana uzuri
 
Back
Top Bottom