Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Sasa wew hao watu wake wa karb uliaafatilia wa Nini kama naww sio kuwashwa af uje kumsema mwenzio huku , acha umamaKwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .
Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
Ngono ndo tunaiweza bongoKwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .
Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
Kwa sababu amejua wewe ni poyoyoKwanza nimegundua hakuna watu wanaokufwatilia kama ma X wako .
Mwanamke anaweza akawa yeye ndio kataka mvunje mahusiano halafu ikitokea ameona umevuta chombo kipya anapata homa na maneno mengi utayasikia kutoka kwa watu wake wa karibu
Babu yako mzaa baba yakoKwa sababu amejua wewe ni poyoyo
Utakuwa umenisaidiaNitamkanya
Umeandika kwa ukali sio bure lazma una stress za maishaSasa wew hao watu wake wa karb uliaafatilia wa Nini kama naww sio kuwashwa af uje kumsema mwenzio huku , acha umama
Sasa wew hao watu wake wa karb uliaafatilia wa Nini kama naww sio kuwashwa af uje kumsema mwenzio huku , acha umama
Kimsingi wewe ni poyoyo basi ni kifichoBabu yako mzaa baba yako
Walah sio ukali , ni vile umejiona mtakatifu kuliko x wako π kimsingi hapo wewe ndo unaemfatiria why malafk zake wakupee tarifa zakeeUmeandika kwa ukali sio bure lazma una stress za maisha