Uchaguzi 2020 Hivi inakuwaje kuanza kwa kampeni kwa CCM kuwa ruksa na kwa wapinzani kuwe haramu?

Uchaguzi 2020 Hivi inakuwaje kuanza kwa kampeni kwa CCM kuwa ruksa na kwa wapinzani kuwe haramu?

Kipi ni cha dhamani Maslahi au Kiapo? Ukinijibu utakuwa umeshapata jibu kuwa kanini wanafanya hivyo.
Kama waliapa kabla ya kuanza kazi hiyo ya upolisi, kuwa watakuwa "fair" kwa wananchi wao, itabidi watekeleze hicho kiapo chao.............

Ni makosa makubwa kwa Jeshi la Polisi, kuwa washabiki kindaki ndaki wa CCM
 
Hivi wazawa wa nchi hii tutategemea kufanya siasa kwa HISANI YA WAHAMIAJI HARAMU mpaka lini?
 
Hivi wazawa wa nchi hii tutategemea kufanya siasa kwa HISANI YA WAHAMIAJI HARAMU mpaka lini?
Tunalazimika kuamka sasa na kusema tumeonewa kiasi cha kutosha na tmeteswa kiasi cha kutosha..........

Sasa kuonewa huko kufike mwisho
 
Jeshi la Polisi nchini linatekeleza majukumu yake kwa "double standards"

Lile linaloonekana haramu, likitendwa na CCM linaonekana halali kwao na likitendwa na vyama vya upinzani linaonekana haramu na linachukuliwa hatua Mara moja!

Mfano halisi ni hivi majuzi tu wakati kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, alipofanya kikao, tena cha ndani, huko Mtwara, akakamatwa na kulazwa kituo cha Polisi, akidaiwa kufanya kikao haramu cha kukusanyika kinyume cha sheria!

Lakini waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amefanya mkutano wa hadhara na tena amepiga simu kwa Rais Magufuli, na simu hiyo ikawekwa "loud speaker" ili kila mtu aliyekuwepo pale mkutanoni amsikie, tena akiwa anafanya kampeni kabla ya muda, kwa kuwaahidi wananchi wa huko kuwa atawajengea barabara ya lami, lakini kitendo hicho hakikuhesabika kuwa ni kuanza kampeni kabla na ni kitendo cha kutaka kuwahonga wakazi wa huko!

Hata hao Polisi walipigwa "ganzi" na kujifanya hawakuliiona "kosa" hilo la wazi kabisa na kutochukuliwa hatua yoyote, kwa Waziri Mkuu, kwa kufanya kosa hilo la kuanza kampeni kabla ya muda!

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi hawa Polisi wetu wameshakuwa jumuiya mojawapo ya Chama cha Mapinduzi?

Hii "double Standards" mnayoiendesha Jeshi letu la Polisi nchini, itafika mahali wananchi tutasema "enough is enough"

Yaani mbona vizuri sana . Yaani wameshaongea yote umekuwa kama wimbo wa Taifa sasa
Kila siku Yaleyale
Sasa wanao wanyima ndio watapata wasaa kusikilizwa zaidi .
Bao la mwisho lina maumivu na kihoro. Ni kama kumpa mtoto wa shule mimba.
 
Jeshi la Polisi nchini linatekeleza majukumu yake kwa "double standards"

Lile linaloonekana haramu, likitendwa na CCM linaonekana halali kwao na likitendwa na vyama vya upinzani linaonekana haramu na linachukuliwa hatua Mara moja!

Mfano halisi ni hivi majuzi tu wakati kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, alipofanya kikao, tena cha ndani, huko Mtwara, akakamatwa na kulazwa kituo cha Polisi, akidaiwa kufanya kikao haramu cha kukusanyika kinyume cha sheria!

Lakini waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amefanya mkutano wa hadhara na tena amepiga simu kwa Rais Magufuli, na simu hiyo ikawekwa "loud speaker" ili kila mtu aliyekuwepo pale mkutanoni amsikie, tena akiwa anafanya kampeni kabla ya muda, kwa kuwaahidi wananchi wa huko kuwa atawajengea barabara ya lami, lakini kitendo hicho hakikuhesabika kuwa ni kuanza kampeni kabla na ni kitendo cha kutaka kuwahonga wakazi wa huko!

Hata hao Polisi walipigwa "ganzi" na kujifanya hawakuliiona "kosa" hilo la wazi kabisa na kutochukuliwa hatua yoyote, kwa Waziri Mkuu, kwa kufanya kosa hilo la kuanza kampeni kabla ya muda!

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi hawa Polisi wetu wameshakuwa jumuiya mojawapo ya Chama cha Mapinduzi?

Hii "double Standards" mnayoiendesha Jeshi letu la Polisi nchini, itafika mahali wananchi tutasema "enough is enough"
Watanzania mmekuwaje kila kitu mnalalamika tu mara katiba mara polisi mara mahakama mara bunge kila siku mnalalamika tu kuhusu mihimili ya serikali na dola yaan hamna akili ya kufanya kitu zaidi ya kulalamika zipo mbinu nying tu za kutatua matatizo ila hamtak kuzitumia mnalalamika tu mtandaoni mnaboa
 
Beberu mzawa!
1592575.jpg
 
Jeshi la Polisi nchini linatekeleza majukumu yake kwa "double standards"

Lile linaloonekana haramu, likitendwa na CCM linaonekana halali kwao na likitendwa na vyama vya upinzani linaonekana haramu na linachukuliwa hatua Mara moja!

Mfano halisi ni hivi majuzi tu wakati kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, alipofanya kikao, tena cha ndani, huko Mtwara, akakamatwa na kulazwa kituo cha Polisi, akidaiwa kufanya kikao haramu cha kukusanyika kinyume cha sheria!

Lakini waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amefanya mkutano wa hadhara na tena amepiga simu kwa Rais Magufuli, na simu hiyo ikawekwa "loud speaker" ili kila mtu aliyekuwepo pale mkutanoni amsikie, tena akiwa anafanya kampeni kabla ya muda, kwa kuwaahidi wananchi wa huko kuwa atawajengea barabara ya lami, lakini kitendo hicho hakikuhesabika kuwa ni kuanza kampeni kabla na ni kitendo cha kutaka kuwahonga wakazi wa huko!

Hata hao Polisi walipigwa "ganzi" na kujifanya hawakuliiona "kosa" hilo la wazi kabisa na kutochukuliwa hatua yoyote, kwa Waziri Mkuu, kwa kufanya kosa hilo la kuanza kampeni kabla ya muda!

Ndipo hapo ninapojiuliza, hivi hawa Polisi wetu wameshakuwa jumuiya mojawapo ya Chama cha Mapinduzi?

Hii "double Standards" mnayoiendesha Jeshi letu la Polisi nchini, itafika mahali wananchi tutasema "enough is enough"
You're not well informed broda,

Jiulize kwanini Zitto alikamatwa pamoja na Abdillah Bungara (bwege)?

Ilhali Karatu Mhe. John Heche alifanya kikao na picha zilitapakaa huku mkijisifu kwamba ukumbi umetapika.

Aidha Mhe.Mbatia amefanya kikao jijini Dodoma na watia nia wa Ubunge kupitia NCCR Mageuzi wapatao 300 hatukuona hao polisi wakimzuia.
 
Back
Top Bottom