Hivi inamaana kuna viongozi huwa hawana mshipa wa aibu, ni vigeu geu sana kwenye suala la Corona

Hivi inamaana kuna viongozi huwa hawana mshipa wa aibu, ni vigeu geu sana kwenye suala la Corona

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Mfano huyo mama mtu mzima kabisa, kama analazimishwa si alipaswa ajiuzulu? Hiyo ndio maana ya kukomaa kisiasa, kitu hukubaliani nacho unajitoa, kwani lazima uwe kwenye hiyo nafasi? Enzi za JPM alitoa video ya nini kifanyike (mazoezi, matunda, kupiga nyungu nk.),na walikataa chanjo kwa sauti moja, leo hii anasema chanjo ndio jibu, kiongozi kinyonga wa namna hii ni hatari kuliko ukoma!!!

9A186703-1D67-4551-AD37-C3C5DE14ADA7.jpeg
D2A64618-4BC0-4A9B-9C90-C18A2D512443.jpeg


7C0618D9-02A7-4D45-9749-58EBB4E9A56C.jpeg


=================================
Update: 17/08/2021

==================================
Update: 22/08/2021
Askofu Josephat Gwajima awataka Waziri wa Afya Dorothy Gwajima na naibu wake Mollel, wajiuzulu ili wasiwe vigeugeu
 
Mfano huyo mama mtu mzima kabisa, kama analazimishwa si alipaswa ajiuzulu? Hiyo ndio maana ya kukomaa kisiasa, kitu hukubaliani nacho unajitoa, kwani lazima uwe kwenye hiyo nafasi? Enzi za JPM alitoa video ya nini kifanyike (mazoezi, matunda nk.),na walikataa chanjo kwa sauti moja, leo hii anasema chanjo ndio jibu, kiongoi kinyonga wa namna hii ni hatari kuliko ukoma!!!

View attachment 1889808
Viongozi kinyonga kama huyo ni hatari kwa usalama wa taifa, sasa kama hawajasababisha majanga , dawa yake ni kuwatandika risasi.
 
Kama hata Lissu mwenyewe alipofika Airport alivua barakoa na kuungana na Magufuli kuwa Tanzania hakuna corona akajichanganya tu na watu ili aweze kufanya kampeni sasa ndio itakuwa huyo Waziri Gwajima?
 
Kama hata Lissu mwenyewe alipofika Airport alivua barakoa na kuungana na Magufuli kuwa Tanzania hakuna corona akajichanganya tu na watu ili aweze kufanya kampeni sasa ndio itakuwa huyo Waziri Gwajima?
Lisu alipokuwa Ulaya alipiga miyowe ohh Tanzania Corona iko kibao kutua Airport barakoa akatupa

Nchi hi kwenye uongozi Hadi upinzani Kuna shida
 
Kama hata Lissu mwenyewe alipofika Airport alivua barakoa na kuungana na Magufuli kuwa Tanzania hakuna corona akajichanganya tu na watu ili aweze kufanya kampeni sasa ndio itakuwa huyo Waziri Gwajima?
Lissu ndio SI unit ya uadilifu?
 
Kama hata Lissu mwenyewe alipofika Airport alivua barakoa na kuungana na Magufuli kuwa Tanzania hakuna corona akajichanganya tu na watu ili aweze kufanya kampeni sasa ndio itakuwa huyo Waziri Gwajima?
Lissu anaongoza wizara gani hapo lumumba.acha kuhamisha magoli.lissu ni mwananchi wa kawaida linapokuja swala la afya za wananchi.wako wenye dhamana na afya zetu achana na lissu.
 
Lisu alipokuwa Ulaya alipiga miyowe ohh Tanzania Corona iko kibao kutua Airport barakoa akatupa

Nchi hi kwenye uongozi Hadi upinzani Kuna shida
Angaika na viongozi wako serikalini wanaotapatapa na corona,achana na lissu maana naye ni raia tu ambaye naye anatoa mawazo yake kama mimi na wewe hapa.
 
Huyu mama nikimuangalia anaonekana ni daktari haswaaaa pindi anapochambua masuala ya afya,lakini siasa tumbo zimevamia ubongo wake
 
Mwanzoni nilimuona kama mtu mmoja makini mwenye uzoefu unaotakiwa katika fani yake! ... Mpaka nikafikia kumtaja kama wanawake wanaoweza kushika nafasi ya PM... Kumbe nilikosea sana, ni msanii tu kama Steve Nyerere.😎
 
Nchi hii inafaa kua koloni la China,,sababu tuna viongozi vilaza sijawahi ona..
 
Lissu anaongoza wizara gani hapo lumumba.acha kuhamisha magoli.lissu ni mwananchi wa kawaida linapokuja swala la afya za wananchi.wako wenye dhamana na afya zetu achana na lissu.
Lissu angekuwa mwananchi wa kawaida watu wasingekusanyana pale Airport kumpokea yeye, Lissu ni mwanasiasa kiongozi katika chama kikubwa cha upinzani mtu ambaye aligombea hadi nafasi ya urais nchini sasa kama wewe unaona ni mwananchi wa kawaida tu anaweza kuupuzwa basi sawa.
 
Siku makanisani na misikitini + kwenye majukwaa yetu ya siasa tutakapohubiri hasara na madhara ya unafiki na kizazi kikakua kikifahamu hivyo kiasi fulani tutakuwa tumenusuru Taifa...

Taifa letu linaendekeza sana siasa za kinafiki na kuonekana ni jambo la kawaida kwenye jamii..
 
Back
Top Bottom