huyo maza gwajiwoman hata uchawi uyo ni mchawi, ama sivyo kasomea bachelor degree ya unafiki na uzandiki, maana haeleweki, hana msimamo kabsa...alitakiwa kujiuzuru mtu huyu......ni vile tu urafi wa madaraka unamuweka mpka leo hii
Mfano huyo mama mtu mzima kabisa, kama analazimishwa si alipaswa ajiuzulu? Hiyo ndio maana ya kukomaa kisiasa, kitu hukubaliani nacho unajitoa, kwani lazima uwe kwenye hiyo nafasi? Enzi za JPM alitoa video ya nini kifanyike (mazoezi, matunda, kupiga nyungu nk.),na walikataa chanjo kwa sauti moja, leo hii anasema chanjo ndio jibu, kiongozi kinyonga wa namna hii ni hatari kuliko ukoma!!!
huyo maza gwajiwoman hata uchawi uyo ni mchawi, ama sivyo kasomea bachelor degree ya unafiki na uzandiki, maana haeleweki, hana msimamo kabsa...alitakiwa kujiuzuru mtu huyu......ni vile tu urafi wa madaraka unamuweka mpka leo hii
Na ndio hicho ninachosema, kama hukubaliani na yanayoendelea ndani ya serikali uliyopo, ni vyema ukaandika barua ya kujiuzulu, maana si lazima uwe kwenye hiyo nafasi, kuliko kukubali kuyumbishwa kama bendera kwenye upepo, JPM hadi anafariki alisimama imara, alikufa kwa ajili ya watz!
Waziri wa Afya, Dkt Gwajima leo ameelezea suala askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima kupinga chanjo ya Covid-19 na kudai pamoja na ushemeji walionao haungani na itikadi zake. Pia ameshangaa wanaomuamini akitolea mfano wa Askofu kudai atamfufua Amina Chifupa kitu ambacho...
Mfano huyo mama mtu mzima kabisa, kama analazimishwa si alipaswa ajiuzulu? Hiyo ndio maana ya kukomaa kisiasa, kitu hukubaliani nacho unajitoa, kwani lazima uwe kwenye hiyo nafasi? Enzi za JPM alitoa video ya nini kifanyike (mazoezi, matunda, kupiga nyungu nk.),na walikataa chanjo kwa sauti moja, leo hii anasema chanjo ndio jibu, kiongozi kinyonga wa namna hii ni hatari kuliko ukoma!!!
Waziri wa Afya, Dkt Gwajima leo ameelezea suala askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima kupinga chanjo ya Covid-19 na kudai pamoja na ushemeji walionao haungani na itikadi zake. Pia ameshangaa wanaomuamini akitolea mfano wa Askofu kudai atamfufua Amina Chifupa kitu ambacho...
Amewataka: : Waziri wa afya na naibu wake wajiuzulu : Dorothy ni mke wao : Amemsifu Ndungulile kwa sababu alitumbuliwa kwa kusimamia ukweli wake kipindi cha meko : Akipata mtu wa kumuelewesha ataelewa ila hawa easily hawafai ni vigeu gemu. : D oroth anasema nilikamatwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.