Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

HUYUUU KADISCO INAJULIKANA SEMA KAFANYA MAAMUZI MAGUMU SANAAA

SWALI LANGU HAKUNA ULINZI WA KUTOSHA

LA.MWISHO LAZIMA UFE UFIKE MBINGJNI AMA.JEHANUM SO MWAMBA KAAMUA AWAHI MWACHENI TUSIMJADILI MWAMBA WETU

JE ATAZIKWA KIKRISTO AMA??
Hili swali nilitaka kulijua pia la kuzika
Maana yule wa kwanza kujinyonga wamesema atazikwa kanisani
Ila asiesali na kafa bila kujinyongwa ni tofauti
Hebu tusubiri jibu
 
Dah Nasikitika Sana, Kwa wewe Kutokujua Kuhusu Uhalisi wa Fungu hilo..
Tuachane na hayo Unazungumziaje Kumbukumbu la Torati 18:22
 
Askofu,padri,shehe,mchungaji,hawa wote ni binadamu kama sisi tulivyo nao wana share yao ya stress na matatizo.Nao pia wana mitihani na majaribu tena makubwa kuliko yetu,cha muhimu tumuombe Mungu tuvuke majaribu yetu salama
Kweli kabisa
 
Dah Nasikitika Sana, Kwa wewe Kutokujua Kuhusu Uhalisi wa Fungu hilo..
Tuachane na hayo Unazungumziaje Kumbukumbu la Torati 18:22
Umenena vyema,

Ikiwa amenena Kwa kutumia na miungu yake, Mungu ataruhusu afe. Asipokufa, huyo ni WA KWELI.

Narudia kusisitiza kuwa, Nabii yule ni WA Kweli. Sababu kuu ni kuwa, Mimi binafsi nilimuuliza Mungu akanithibitishia,

Na jambo lingine linalothibitisha UKWELI juu ya unabii huo, alimtuma Nabii Jackob Steven wa Huduma ya Kristo Kutoa maelekezo juu ya kusogezwa mbele tukio Hilo.
 
Kama wapo wanaoweza kubaka,kutapeli... anashindwaje kujinyonga?sio wote wasemao bwana bwana watauona ufalme wa MUNGU.
 
Basi na aliejinyonga Nae ni mbwa mwitu katika ngozi ya Kondoo,


Soma mwenyewe, usidanganywe na huyo kasisi wako kwamba huwezi kusona

Hiyo anayeiba sadaka na kubaka Si Mchungaji, ni mbwa mwitu katika ngozi ya Kondoo,

Uweze kutofautisha mambo
 
Jacob Steven huyu JB mwigizaji au?

Kama uliambiwa kwamba ni Nabii wa kweli bhasi wote mmeingiwa na Pepo Mchafu kutoka kwa Mungu ili mtabiri uongo...

Yeremia 14:14


“Hao manabii wanatoa unabii wa uongo kwa jina langu. Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi yasiyo na maana yoyote, uongo wanaojitungia wenyewe"


Unahisi watu hawaitukani Imani yenu Ya Ukristo au Dini kwa Ujumla kwa Hoja dhaifu mnazotoa na Utabiri mnauotoa hayo ndo Petro aliyowahi kuwaandikia..


2 Petro 2:2-3

"Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa hao njia ya kweli itatukanwa.

Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala uvunjifu wao hausinzii."



Unakumbuka Kipindi cha Ahabu , Mfalme wa Yuda Yehoshafati, mfalme wa Israel na Kipindi cha Mikaiya, Kulitokea Nini??

1 Wafalme 22:22-23

"BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo.

Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako."

Nakutakia Asubuhi Njema kabisa
 
Padri, Paroko Leo hii anatuhumiwa kuhusika na mauwaji ya Albino, mtoto Asimwe.

Sijui swali LANGU ndio linajibiwa au la🤔
 
Sio JB Msanii,

Ni Jackob Steven anaongoza huduma ya Kristo.

Ukiingia U-Tube ukaandika Jackob Steven, Huduma ya Kristo utaona, yupo Arusha.
 
Unabii Uliofeli ni Unabii Wa Uongo
Unabii wa Isaya Kwa mfalme akimwambia tengeneza mambo ya nyumbani mwako sababu utakufa Kwa ugonjwa huu, mfalme akageukia kutani na kuomba,

Kisha Mungu alamtuma tena Nabii Isaya kupeleka tena ujumbe Kwa mfalme kuwa, hatokufa, ameongezewa miaka 15.

Sasa unabii huo ni WA uongo kivipi?

Hujui kuwa manabii ni messengers tu, mwenye kuwatuma ni Mungu na Nia ni watu waache UOVU, watubu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…