- Thread starter
- #81
Soma mwenyewe, usidanganywe na huyo kasisi wako kwamba huwezi kusonaBasi hata bibli ni upagani mana inakusaidi kusali wakati ungewesa kuongea na mungu moja kwa mona bila kupitia kitabu. Ndo mana nasema nenda shule kwanza utofautishe mamboa. Biblia haisomwi na walei au laymen kama nyie utach ga yikiwa bure
Hiyo anayeiba sadaka na kubaka Si Mchungaji, ni mbwa mwitu katika ngozi ya Kondoo,Hakuna cha pepo kuvamiwa wala nini.
Nao binadamu kama sisi, kama nao huwa wanabaka na kuiba sadaka
Ndo iwe ajabu kujiua?
Uweze kutofautisha mambo!!