Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

Hivi inawezakana Mchungaji au Askofu kujinyonga?

Kwa nini isiwezekane? Mtu anayejinyonga ina ana maana uwezo wake wa kufikiria na kutofautisha chema na kibaya umeondoka - anachoona chem na kibaya ni sawa (sawa na mtu anayeona rangi ya kijivu - si nyeusi na si nyeupe) na hali hii inaweza kutokea kwa mtu yeyote. Kumbuka Yuda Iskariote alichaguliwa na Bwana Yesu kuwa mmoja wa mitume 12 na alikuwa ndiye mhazini wa mitume. Pengine alipokubali kupokea fedha alijua watesi wa Bwana Yesu wanajisumbua Bure, atawaonyesha muujiza. Lakini kwa Yesu hakufanya hivyo, ingawa angeweza kuwafanyia watesi wake wote wasielewane lugha au wasimwone. Baada ya Yuda kuona waliyomfanyia Yesu, hakuamino kama ni yeye aliyefanya hivyo. Aliona maisha hayana maana tena - wenzake watamwelewaje? Watu waliomwona akiwa pamoja na Yesu watamwelewaje? Akaona rangi nyeupe na nyeusi inakuwa ya kijivu - haoni nyeusi wala nyeupe. Ina maana judgement yake ikaathirika na akaona heri afe tu. Kama ilitokea kwa mtu aliyeaminiwa na Yesu, je kwa wachungaji wetu haiwezi kutokea? Hali hii inaweza kutokea kwa mtu yeyote ndugu! Take care!
Swali gumu, majibu mepesi 🤔
 
Ungenisaidia kunambia Rozali imeandikwa wapi katika BIBLIA ningeshukuru sana.
Shanga zilitumika kama pambo tangu kale: barani Afrika zimepatikana za miaka 10,000 KK.

Lini na wapi zilianza kutumika kwa ajili ya sala haijulikani, lakini kuna sanamu ya karne ya 3 KK inayomuonyesha Mhindu akiwa na ushanga wa sala.

Lengo ni kutunza hesabu ya kauli ambazo zinakaririwa kwa kupitisha vidole viwili juu ya punje zilizounganishwa katika kamba au uzi.

Wakristo wa karne ya 15 waliotamani kusali kama watawa Zaburi 150, lakini hawakujua Kilatini au kusoma kabisa, walijifunza kwa urahisi kukariri Salamu Maria 150 huku wakitafakari mafumbo ya maisha ya Yesu, kama alivyowahi kufanya Dominiko wa Prussia (1382-1460), mmonaki Mkartusi.[2]

Lakini shirika lililojihusisha zaidi na Rozari ni lile la Wadominiko.[3][3][4][5][6]

Mwaka 1569, Papa Pius V aliyekuwa wa shirika hilo, alipitisha sala hiyo kwa Kanisa lote, akapanga mgawanyo wa mafumbo 15 na kukabidhi uenezi wake kwa Wadominiko wenzake.

Mafumbo hayo yaligawiwa katika makundi matatu: 5 ya furaha (utoto wa Yesu), 5 ya uchungu (mateso ya Yesu) na 5 ya utukufu (ufufuko wa Yesu na yatokanayo). Kila fumbo lina Salamu Maria 10, zikitanguliwa na Baba Yetu na kumalizika kwa Atukuzwe.

Mwaka 2002 Papa Yohane Paulo II alipendekeza kuongeza mafumbo 5 ya mwanga ili kuziba pengo kuhusu miaka ya utume wa Yesu.[7]

Mbali na hao, Mapapa wote walihimiza sala hiyo kama njia rahisi kwa wote ya kukumbuka na kuheshimu kazi ya wokovu iliyofanywa na Yesu Kristo.[8]

Sala hiyo imeenea katika baadhi ya madhehebu mengine ya Ukristo, hasa Anglikana.
 
Rozari (kutoka Kilatini rosarium, yaani "taji la mawaridi"),[1] ni ushanga uliotengenezwa kwanza na Wakatoliki wa Karne za Kati ili kusali kwa kukariri Salamu Maria kadhaa pamoja na kutafakari mafumbo ya imani.
Tunaenda vizuri,

Kumbe wakatoliki walijiamulia kuingiza mapokeo ya up again wao na kuingia nao Kanisani sio?

Ni sawa tu Leo, wachaga wanafanya matambiko na wanaenda Kanisani jumapili,

Hayo ni mapokeo yenu ya kipagani,

Hayana connection yoyote na maandiko au Neno la Mungu.
 
Tunaenda vizuri,

Kumbe wakatoliki walijiamulia kuingiza mapokeo ya up again wao na kuingia nao Kanisani sio?

Ni sawa tu Leo, wachaga wanafanya matambiko na wanaenda Kanisani jumapili,

Hayo ni mapokeo yenu ya kipagani,

Hayana connection yoyote na maandiko au Neno la Mungu.
Nani kasema matambimo ni dhambi.
 
Shanga zilitumika kama pambo tangu kale: barani Afrika zimepatikana za miaka 10,000 KK.

Lini na wapi zilianza kutumika kwa ajili ya sala haijulikani, lakini kuna sanamu ya karne ya 3 KK inayomuonyesha Mhindu akiwa na ushanga wa sala.

Lengo ni kutunza hesabu ya kauli ambazo zinakaririwa kwa kupitisha vidole viwili juu ya punje zilizounganishwa katika kamba au uzi.

Wakristo wa karne ya 15 waliotamani kusali kama watawa Zaburi 150, lakini hawakujua Kilatini au kusoma kabisa, walijifunza kwa urahisi kukariri Salamu Maria 150 huku wakitafakari mafumbo ya maisha ya Yesu, kama alivyowahi kufanya Dominiko wa Prussia (1382-1460), mmonaki Mkartusi.[2]

Lakini shirika lililojihusisha zaidi na Rozari ni lile la Wadominiko.[3][3][4][5][6]

Mwaka 1569, Papa Pius V aliyekuwa wa shirika hilo, alipitisha sala hiyo kwa Kanisa lote, akapanga mgawanyo wa mafumbo 15 na kukabidhi uenezi wake kwa Wadominiko wenzake.

Mafumbo hayo yaligawiwa katika makundi matatu: 5 ya furaha (utoto wa Yesu), 5 ya uchungu (mateso ya Yesu) na 5 ya utukufu (ufufuko wa Yesu na yatokanayo). Kila fumbo lina Salamu Maria 10, zikitanguliwa na Baba Yetu na kumalizika kwa Atukuzwe.

Mwaka 2002 Papa Yohane Paulo II alipendekeza kuongeza mafumbo 5 ya mwanga ili kuziba pengo kuhusu miaka ya utume wa Yesu.[7]

Mbali na hao, Mapapa wote walihimiza sala hiyo kama njia rahisi kwa wote ya kukumbuka na kuheshimu kazi ya wokovu iliyofanywa na Yesu Kristo.[8]

Sala hiyo imeenea katika baadhi ya madhehebu mengine ya Ukristo, hasa Anglikana.
Umeongea vyema kabisa,

Rozali ni upagani. Ni makufuru kuingiza Ibada ya sanamu, masanamu na rozali Kanisani.
 
Kuanzia 2010 kurudi nyuma,

Umewahi sikia jambo la namna hii?

Na hili linaashiria nini?
Mkuu watu wanajinyonga Toka zaman tu sema kwass Dunia ipo kiganjani ndio maana taarifaa hz tunazipata Kila cku na Kwa wkt,mm kijijin kwetu 2004 nilishuhudia mtu juu ya mti kbs kajinyonga na kaacha barua mfukoni mwa suruali yake nduguze walisema barua inasema jamaa kajinyonga kisa msongo wa mawazo ..
 
Mkuu watu wanajinyonga Toka zaman tu sema kwass Dunia ipo kiganjani ndio maana taarifaa hz tunazipata Kila cku na Kwa wkt,mm kijijin kwetu 2004 nilishuhudia mtu juu ya mti kbs kajinyonga na kaacha barua mfukoni mwa suruali yake nduguze walisema barua inasema jamaa kajinyonga kisa msongo wa mawazo ..
Alikuwa mtumishi wa Mungu?
 
Umeongea vyema kabisa,

Rozali ni upagani. Ni makufuru kuingiza Ibada ya sanamu, masanamu na rozali Kanisani.
Basi hata bibli ni upagani mana inakusaidi kusali wakati ungewesa kuongea na mungu moja kwa mona bila kupitia kitabu. Ndo mana nasema nenda shule kwanza utofautishe mamboa. Biblia haisomwi na walei au laymen kama nyie utach ga yikiwa bure
 
Tunaenda vizuri,

Kumbe wakatoliki walijiamulia kuingiza mapokeo ya up again wao na kuingia nao Kanisani sio?

Ni sawa tu Leo, wachaga wanafanya matambiko na wanaenda Kanisani jumapili,

Hayo ni mapokeo yenu ya kipagani,

Hayana connection yoyote na maandiko au Neno la Mungu.
Mtu akipoteza connection na asili yake kapoteza pia na nguvu zake za kiroho , hapo kinachofata ni utumwa
 
Kwamba matambiko Si dhambi?

Kwamba kuabudu miungu Si dhambi?

KAZI IPO Kwa Kweli🤔
Matambiko siyo kuabudu miungu. Nani kasema matambiko ni kuabudu miungu. Mi nafanya matambiko lakini siabudu miungu. Matambiko ni part of my culture kama weqe unavyoenda kanisani kusali. Kusali ni culture waliyokuletea wazungu kukuibia pesa kipitia sadaka
 
Elew maama ya neno rozali kwanza kabla ya kuuliza. Shule muhimu sana. Elimu zenu hizo za kufunuliwa hiwezi kuelewa. Chimba uelewe. Ndo mana mapadre wanasoma 16 years baada ya form six ili kuw knowlegeable siyo hao akina kakobe au mwamposa wa elimi ya hapa na pale kiujanja janja

Rozali tena 😀😀😀
 
Salaam, Shalom!!

Kuna wimbi linaendelea kujitokeza la vifo tata kuhusu viongozi wa kiroho.

Miezi kadhaa iliyopita, yaliripotiwa matukio ya Padri kukutwa ameuwawa na kutupwa, wengine wakiuwawa,

Jambo lililonishtua zaidi ni tukio la kujinyonga Askofu Dodoma, tena ndani ya nyumba ya Ibada,kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari.

Nijuavyo Mimi Rabbon, Ili mtu ajinyonge, lazima avamiwe na Pepo wa MAUTI atakayemuongoza kufanya kitendo hicho bila ridhaa yake.

Swali LANGU ni kuwa, Askofu, mtumishi wa Mungu, anayeongozwa na Roho wa Mungu, anayewatia moyo waumini waliovunjika moyo daily, awezaje kuamua kujinyonga?

Source: Millard Ayo, Askofu ajinyonga Dodoma.

Karibuni 🙏.
Halafu eti kajinyonga kwa kutumia charger ya simu😭😭😭😭

Nitakuwa wa mwisho kuamini amejinyonga kama ambavyo siamini kifo cha rais wa Irani kutokana na hali mbaya ya hewa.
 
Swali gumu, majibu mepesi 🤔
Yaani nimejibu kirahisi na wewe ulitaka nijibu iwe vigumu kuelewa? By the way, mdogo wangu niliyeishi naye miaka mingi, akipata jambo ananishirikisha, siku ya siku alipotaka kujiua hata hakutaka kunishirikisha. Hii ilitokea baada ya kujaribu kumwokoa mara mbili, ya tatu haikuwezekana. Hivyo, kutokana na yale aliyokuwa akinishirikisha, somehow nina clues based on this particular experience watu wa aina hii wana tendency gani, kitu gani ni contributory, etc. Nilifanya pia counselling ya miaka 2 (darasani) na miaka 2 gerezani (Pentonville Prison, in The UK) kwa suicidal cases. So, somehow I feel I know (not everything, but something in this area).
 
Wewe angalau unatumia vizuri akili Yako,

Ingawa umekosa evidence ya maandiko!!

Jambo lingine ambalo hujaliangazia, ni huna uhakika ikiwa Kweli amejinyonga au amenyongwa!!
Nina uhakika na end product amefariki zilizobakia ni nadharia za walimwengu tu
 
Back
Top Bottom