MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
'Anaongozwa na mungu' so inawezekana mungu ndio amemuongoza ajinyonge. Tujitahidi kujiongoza wenyewe, ili atleast iwepo tofauti kati ya roboti na binaadamu halisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BIBLIA ndio Katiba ya mkristo,Siyo kili hofanywa kimeandikwa ndani ya biblia. Soma uelewe. Umeambea na akili na utashi. Unless kama we ni ngombe unaswagw tu
Katiba ya mkristo ni vingi. Hakuna sehemu palopoandikwa kwamba biblia ni katibaBIBLIA ndio Katiba ya mkristo,
Sasa kati ya Mimi na wewe unayepewa usali Kwa kutumia rozali ambayo haipo popote ndani ya BIBLIA, nani ngombe🤔
Nimekwambia tafuta maana ya neno rozari ndo utaelewa.BIBLIA ndio Katiba ya mkristo,
Sasa kati ya Mimi na wewe unayepewa usali Kwa kutumia rozali ambayo haipo popote ndani ya BIBLIA, nani ngombe🤔
Wewe angalau unatumia vizuri akili Yako,'Anaongozwa na mungu' so inawezekana mungu ndio amemuongoza ajinyonge. Tujitahidi kujiongoza wenyewe, ili atleast iwepo tofauti kati ya roboti na binaadamu halisi
Nimetafuta ndani ya BIBLIA sijaona.Nimekwambia tafuta maana ya neno rozari ndo utaelewa.
Upo sawa tena hawa wachungaji wa kutuuzia leso za upako ndio kabisa.Kwani wao sio binadamu? Hawana moyo wa nyama?
Usidanganyike na Elimu ya physiological, huwa haisaidii ktk baadhi ya masuala.
Maana ya neno. Kama vile petro ambayo maana yake ni mwamba. Au yesu ambayo maana yake ni kristus au mwokozi ni neno la kiebrania ambacho lazima usome sana. Achana na ujanja ujanja . Biblia siyo gazeti inahitaji shule haswaaaNimetafuta ndani ya BIBLIA sijaona.
Nakusihi Rudi Kwa mwalimu wako umuulize swali nililokuuliza, akikujibu njoo unifafanulie kulingana na maandiko.
hii pattern niliiona siku nyingi! sikuizi kuna murder nyingi sana ambazo hutegesha au watu humnyonga mtu ionekane amejinyonga!!….Salaam, Shalom!!
Kuna wimbi linaendelea kujitokeza la vifo tata kuhusu viongozi wa kiroho.
Miezi kadhaa iliyopita, yaliripotiwa matukio ya Padri kukutwa ameuwawa na kutupwa, wengine wakiuwawa,
Jambo lililonishtua zaidi ni tukio la kujinyonga Askofu Dodoma, tena ndani ya nyumba ya Ibada,kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari.
Nijuavyo Mimi Rabbon, Ili mtu ajinyonge, lazima avamiwe na Pepo wa MAUTI atakayemuongoza kufanya kitendo hicho bila ridhaa yake.
Swali LANGU ni kuwa, Askofu, mtumishi wa Mungu, anayeongozwa na Roho wa Mungu, anayewatia moyo waumini waliovunjika moyo daily, awezaje kuamua kujinyonga?
Source: Millard Ayo, Askofu ajinyonga Dodoma.
Karibuni 🙏.
Kuna UKWELI Fulani, wasiojulikana Bado hawajajulikana!!Binadamu na tamaa siku hizi, inawezekana kanyongwa na wenzake kisa sadaka
Mimi ni Rabbon, mwalimu wa Neno la Mungu.Maana ya neno. Kama vile petro ambayo maana yake ni mwamba. Au yesu ambayo maana yake ni kristus au mwokozi ni neno la kiebrania ambacho lazima usome sana. Achana na ujanja ujanja . Biblia siyo gazeti inahitaji shule haswaaa
Umesomea wapi. Au nawe ni wale wachungaji w kufunuliwa ambao yesu anasema udongo ulianguka kwemye mwamba hivyo utasongw na kunyauka kama wanavyonyauka wachungaji wenzi mpaka kujinyonga. Umeshaona kanisa katoliki limenyauka? Ule ni udongo mzuri ambao mbegu hustawi whether you like or notMimi ni Rabbon, mwalimu wa Neno la Mungu.
Hayo yote uliyoandika, Petro, MWAMBA, Kristo,Neno, Mwokozi,
Yamo kwenye BIBLIA.
Rozali imeandikwa wapi?
Kwa nini isiwezekane? Mtu anayejinyonga ina ana maana uwezo wake wa kufikiria na kutofautisha chema na kibaya umeondoka - anachoona chem na kibaya ni sawa (sawa na mtu anayeona rangi ya kijivu - si nyeusi na si nyeupe) na hali hii inaweza kutokea kwa mtu yeyote. Kumbuka Yuda Iskariote alichaguliwa na Bwana Yesu kuwa mmoja wa mitume 12 na alikuwa ndiye mhazini wa mitume. Pengine alipokubali kupokea fedha alijua watesi wa Bwana Yesu wanajisumbua Bure, atawaonyesha muujiza. Lakini kwa Yesu hakufanya hivyo, ingawa angeweza kuwafanyia watesi wake wote wasielewane lugha au wasimwone. Baada ya Yuda kuona waliyomfanyia Yesu, hakuamino kama ni yeye aliyefanya hivyo. Aliona maisha hayana maana tena - wenzake watamwelewaje? Watu waliomwona akiwa pamoja na Yesu watamwelewaje? Akaona rangi nyeupe na nyeusi inakuwa ya kijivu - haoni nyeusi wala nyeupe. Ina maana judgement yake ikaathirika na akaona heri afe tu. Kama ilitokea kwa mtu aliyeaminiwa na Yesu, je kwa wachungaji wetu haiwezi kutokea? Hali hii inaweza kutokea kwa mtu yeyote ndugu! Take care!Salaam, Shalom!!
Kuna wimbi linaendelea kujitokeza la vifo tata kuhusu viongozi wa kiroho.
Miezi kadhaa iliyopita, yaliripotiwa matukio ya Padri kukutwa ameuwawa na kutupwa, wengine wakiuwawa,
Jambo lililonishtua zaidi ni tukio la kujinyonga Askofu Dodoma, tena ndani ya nyumba ya Ibada,kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari.
Nijuavyo Mimi Rabbon, Ili mtu ajinyonge, lazima avamiwe na Pepo wa MAUTI atakayemuongoza kufanya kitendo hicho bila ridhaa yake.
Swali LANGU ni kuwa, Askofu, mtumishi wa Mungu, anayeongozwa na Roho wa Mungu, anayewatia moyo waumini waliovunjika moyo daily, awezaje kuamua kujinyonga?
Source: Millard Ayo, Askofu ajinyonga Dodoma.
Karibuni 🙏.
Kuna jambo haliko sawa somewhere,hii pattern niliiona siku nyingi! sikuizi kuna murder nyingi sana ambazo hutegesha au watu humnyonga mtu ionekane amejinyonga!!….
Fuatilia hizi kesi za kujinyonga kuna kipindi huwa kama ugonjwa wa mlipuko
Ungenisaidia kunambia Rozali imeandikwa wapi katika BIBLIA ningeshukuru sana.Umesomea wapi. Au nawe ni wale wachungaji w kufunuliwa ambao yesu anasema udongo ulianguka kwemye mwamba hivyo utasongw na kunyauka kama wanavyonyauka wachungaji wenzi mpaka kujinyonga. Umeshaona kanisa katoliki limenyauka? Ule ni udongo mzuri ambao mbegu hustawi whether you like or not
Good! Labda tuanze na biblia yenyewe. Imeandikwa wapi au wapi pameandikwa neno "biblia"? Nasubiri hapa!Mimi ni Rabbon, mwalimu wa Neno la Mungu.
Hayo yote uliyoandika, Petro, MWAMBA, Kristo,Neno, Mwokozi,
Yamo kwenye BIBLIA.
Rozali imeandikwa wapi?
Rozari (kutoka Kilatini rosarium, yaani "taji la mawaridi"),[1] ni ushanga uliotengenezwa kwanza na Wakatoliki wa Karne za Kati ili kusali kwa kukariri Salamu Maria kadhaa pamoja na kutafakari mafumbo ya imani.Ungenisaidia kunambia Rozali imeandikwa wapi katika BIBLIA ningeshukuru sana.
Dunia hii tegemea mengi sanaKuna UKWELI Fulani, wasiojulikana Bado hawajajulikana!!
Tusubiri