Hivi inawezekana Green Guards wa CCM na UVCCM wakafanya 'Umafia' bila ya 'Baraka: za 'Owner Chair' wao Taifa?

Hivi inawezekana Green Guards wa CCM na UVCCM wakafanya 'Umafia' bila ya 'Baraka: za 'Owner Chair' wao Taifa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kiamini Mtoto wa Jirani yangu Kumfanyia Umafia Mwanangu ama bila ya Baba yake kujua au hata nae Kuchangia na Kuchochea Uhuni na Upumbavu huo.

'Owner Chair' Taifa Vunja UVCCM.
Kweli kabisa. !!
 
GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kiamini Mtoto wa Jirani yangu Kumfanyia Umafia Mwanangu ama bila ya Baba yake kujua au hata nae Kuchangia na Kuchochea Uhuni na Upumbavu huo.

'Owner Chair' Taifa Vunja UVCCM.
Naunga mkono hoja, UVCCM ni genge hatari sana na kwa sasa wanajipambanua waziwazi kwamba wao ni wavunjifu wa amani
 
Naunga mkono hoja, UVCCM ni genge hatari sana na kwa sasa wanajipambanua waziwazi kwamba wao ni wavunjifu wa amani
Red brigade walifia au bado wanafuga [emoji215]

USSR
 
Chama cha Mapumbavu
Oya huogopi Kutekwa? Tena unavyopenda Kushinda Baa hapo kwa Sinde Mbezi Beach Tangi Bovu na pale Kona Baa kwa Poti ( Mwetu ) wangu wa Kizanaki Mzee Juma na Wazanaki Wenzangu wengine na Baba zangu Maafande Wastaafu Brigedia Kohi na Kapteni Mugwe ndiyo utatekwa nao Kiurahisi mno japo Mzee Juma ni mwana CCM Mwenzao na Boss wa Chama ( CCM ) hilo eneo.
 
Naunga mkono hoja, UVCCM ni genge hatari sana na kwa sasa wanajipambanua waziwazi kwamba wao ni wavunjifu wa amani

Genge hilo lina baraka zote za chama na mwenyekiti wao kupitia kofia ya urais. Na sasa hivi wanafanya unyama wowote watakao, kisha wanatamba kuwa viongozi wao watakuwa na jukumu la kuwaombea msamaha!

Hii ni kawaida kabisa kwa vyama vinavyokaa madarakani muda mrefu kwa shuruti, kisha wakipoteza ushawishi wanakuwa na vikundi vya aina hiyo ili kuhakikisha wanatisha, kuua, kupoteza wapinzani wao nk.
 
Oya huogopi Kutekwa? Tena unavyopenda Kushinda Baa hapo kwa Sinde Mbezi Beach Tangi Bovu na pale Kona Baa kwa Poti ( Mwetu ) wangu wa Kizanaki Mzee Juma na Wazanaki Wenzangu wengine na Baba zangu Maafande Wastaafu Brigedia Kohi na Kapteni Mugwe ndiyo utatekwa nao Kiurahisi mno japo Mzee Juma ni mwana CCM Mwenzao na Boss wa Chama ( CCM ) hilo eneo.
Wananijua, hamna mtekaji ambaye hanijui. Na nyumbani kwangu hapo Mbezi Beach jirani na nyumbani kwa John Malecela wanapajua.

Gari yangu wanaijua na hapa Oysterbay ninapofanyia shughuli zangu wanapajua.

Waje tu
 
Back
Top Bottom