bishontongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 239
- 223
SawaInawezekana mpendwa, tutakuombea. Ila na wewe tuambie kama inawezekana ukajifunza kuandika kwa ufasaha.
Sawa nimekuelewa mpendwaUna masharti mengi kwel kweli.
Angalia usichague sana nazi, utainukia......
Hahahahha haya kaka mtandaoni mhhh sio kuwa tunapotezea time tuu.?Watakuja PM wamekusikia.
Amina nimekuelewaKatika hali ya kawaida ni vigumu kumpata mwenye tabia zote unazozitaka cha muhimu ni kumuomba m'mungu angalau akupatie mwenye chache kati ya hizo.
Pia usisahau ule usemi wa "hakuna mwanadamu aliyemkamilifu" ukiuelewa huo sidhani kama utakuwa ni mwenye machaguzi mengi kiasi hicho.
Pesa za haje kama ni pesa namie natafta tutasaidiana.mbona pesa hujataja?
Ubarikiwemimi nina sifa hizo zote ila hunipati kwakuwa nina wasiwasi wewe ni flat screen a.k.a umepigwa pasi.......
Hahahaha umeninogea bora muwe na afya njema na upendo na amani vyote vinapatikana.Hakuna kipengere umesahau hapo? Kile cha kuingiza mkono mfukoni sijakiona hapo,au hupendelei...