miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
je hayo unayoyataka we unayo? si utegemee kupata tu we kutoa huwezi... kuna mademu hata kucheka wanaleta pozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unataka Jamaa wa dizaini hiyo.?Kivipi
hakuna amani penye njaaaHahahaha umeninogea bora muwe na afya njema na upendo na amani vyote vinapatikana.
No ukinikutanisha utakuwa umenitaftia utabeba lawama.hahahah ila ahsante kwa supportKwamba unataka Jamaa wa dizaini hiyo.?
Yupo mmoja namjua anazo hizo sifa aisee.!
Kama vip, niwakutanishe nae.
hi hi hiii.! basi sawa. kila la kheri.No ukinikutanisha utakuwa umenitaftia utabeba lawama.hahahah ila ahsante kwa support
Nime ku pm bishotongo Njoo tujuane Sifa zetu pengine tunaweza ku matchMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .