Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Mwanamke hajui anataka mwanaume wa aina gani hadi ampate.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Hujaweka sifa zako bidada
 
Naona members humu wanaleta mzaha ngoja nichangamkie fursa, naomba unipe ushilikiano bibie naja [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Mhhh na ww una sifa ulozitaja??
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
nipo hapa
..
 
Kwani Na huyo mwanume mwenye vigezo unavyovitaka akiorodhesha vigezo vyake unahisi utakidhi,
Cha msingi omba mungu Nasi tutakuombea pia
Upate mwanaume mwenye hofu ya mungu Na kusikiliza.
 
Utampata ikiwa nawewe ni wahivyo ila kama sio wa hivyo sahau kwan mungu ni mwema hukutanisha wanaoendana japo Mara chache yatokeaga kukutana watu wa sofa tofauti
 
Nakushauri uingie maabara ujitengenezee mwenyewe... Just joking.
Lakini unatakiwa kuachana na uhafidhina kama kweli unataka mme. Vinginevyo utaendelea tu kuwaona wanaume. Kumbuka kuwa nao wana Sifa zao, sasa kimbembe kinakuja pale mnopishana vipaumbele vyenu. Kwa vigezo ulivyoviweka, wanaume wengi watakukimbia.
 
Jina lako baya kama sura yako.

Ndogo unamaanisha tgo??
 
bishontongo ana miaka 39, labda tuanzie hapo.
Kwamba kama ni kweli ana umri huo kutokana na profile yake: basi ña yeye yumkini hana sifa hizo ndo maana hajaolewa.

Nawaza tu
 
Back
Top Bottom