Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Be what' you want in others, mm ninazo hizo sifa, 178cms, 75kg, black, funny and very generous but sina kazi [emoji3] so km na ww unazo hizo sifa unazozitaka in a man, ni pm
 
Sifa ninazo urefu 180, uzito 85, bold black. Ila nimeoa km uko tayari uwe second choice
 
Mwanaume bora kuliko wote ni yule utakaemchonga kwa mikono yako mwenyewe
 
Wa hivyo lazima atakuwa mcha Mungu tu, tupo mbona ila mimi tayari ninaye.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
wewe izo sifa unazo?
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .

Umevuta bangi ya wapi leo??
 
kama ujampata basi huna sifa wanazozitaka wao......
 
Kama una bikra sawa...
Kama bikra huna basi punguza masharti yako.
 
"asiwe anapenda ndogo"....nini hicho tufafanulie
 
Weka picha yako ili nasi tukuone.
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
 
Ukimtaka wa hivyo inabidi kwanza umtambue, halafu umtongoze wewe mwenyewe. Vinginevyo sahau!
 
Baba mzazi wako anasifa hizo....? Ukinijibu nitakwambia pakumpata
 
Back
Top Bottom