Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Omba upate mtu empty set ili ukaanze wewe kumtia hizo tabia zako unazozitaka akikuelewa utakuwa umepata unachotaka.... lah hakuna mwanaume aliyezaliwa kwa ajili yako so sio rahisi kuwa na sifa zote hizo!
 
Ndio Unaweza kumpata naye ni YESU, alikuwa mrefu,alikuwa mrefu, alikuwa c mchoyo, alikuwa hapendi ndogo,hakuwa na maringo
Jamani hiyo ndogo mliyo manisha poleni mie nilimanisha awe anapenda ndugu poleni kwa wapenda ujinga.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Ni pm chap chap
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .

Mungu anajua what is best for you and not you, anaweza kukupa asiye na yote hayo ila ukampenda balaa, Omba Mungu for the right person and sio kumpa Mungu vigezo vyako!
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
mm ninazo ila napenda ndogo mara chachechache
 
Haumtaki daimond hau kiba maana kila mwanamke stori ni hao sasa sisi wenye hizo sifa tumeuchuna mbaka muanze kutuambia nyie wenyewe kama mnatupenda
 
Halafu we mleta thread njoo na ile id yako uliyo kuja nayo ukiomba ushauri kwenye jukwaa la doctor, Kuhusu dawa ya chunusi

Au ile ambayo uliyo tumia kuandika kutafuta mchumba
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Weka sifa zako kwanza zikifatana na picha.... 24/7 utakuwa naye ndani
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Okay fine naomba namba yako ya whatsapp, lakini nawewe ni mweusi.?
 
Weka sifa zako kwanza zikifatana na picha.... 24/7 utakuwa naye ndani
Mwambie aje na id yake ya siku zote!

Alisha kuja na id nyingine akataja sifa zake akitafuta mwanaume naona ili buma kaja kwa style hii
 
ahaaaaaa hizo sifa kila mwanamke angependa ampate mwanaume wa hivyo ila mie ningependa pamoja na hivyo huyo mwanaume asikose vigezo hivyo

1.akupende
2. msafii
3. mama yake akupende

n.b sioni raha kuishi na mwanaume anaekosa vigezo hivyo.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
DU! hizo sifa zote ninazo lkn sijui wewe ulivyo maana huo ni upande mwingine wa filimbi.
 
Back
Top Bottom