Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Mimi naamini ni 1 kati ya hao wenye cfa hizo,. Lakini tatizo langu napenda mwanamke mzuri, mweupe kiac(kwa kifupi ctaki mwanamke mweuc hata kidogo), mlefu kiac. Vingine 2tamalizana
 
Kwenye sifa ulizotaja najiona kama ninazo ebu niPM huenda wewe ndiye sumaku nilyekuwa nakusubiria mi chuma univute lakini uzingatie wimbo wa dume suruali ndo sala yangu kwa sasa
 
ukitaka mtu mwenye sifa uzitakazo jiulize kwanza kama ww unasifa hizo.
like produce like.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
bishontongo .wammbona? nkuigile? naba amaisho
 
Pesa hutaki hapo umetupiga kamba

Kaandika "asiwe mchoyo" Kwa Lugha ingine NI zaidi ya PESA amunulie gari,nyumba Na shoping za Dubai oooh nimesahau awe Na nyumba Masaki.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Mwarabu vp anakufaa?nipooo
 
Nipo mimi ila kama unajiamin kuwa unavgezo vyote vyakuitwa mwanamke mzuri ni pm ila usiwe mfupi pia usiwe mweupe
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Nicheck PM nina sifa zote hizo.
 
Weka picha yako tuone kama unastahili kumpata mwenye sifa hizo
 
Back
Top Bottom