Una akili sana.Wanawake wapumbavu huweka masharti wasijue mwanaume timamu nae ana vigezo vyake.Mwishowe wanakuwa machangu,muhimu ni kumshirikisha Mungu.Aache umbulula.Mbona wapo shida inakuja kwako kuwa huna sifa wanazotaka wao maana na wao wanatafuta wenye sifa wanazitaka