Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Watu na CV zao bhana, kuna watu wana sifa mpaka unaogopa yaani hzo zako cha mtoto. Tatizo moja tu wote wanapenda ngono, na ukikuta hawapendi ngono basi tube hazina upepo.
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .

Kazana mwisho WA mwaka huu, uzee unakaribia
 
Watu na CV, kuna watu wana sifa mpaka unaogopa yaani hzo zako cha mtoto. Tatizo moja tu wote wanapenda ngono, na ukikuta hawapendi ngono basi tube hazina upepo.
Hahahaha..nimecheks kama mazuro..Muwache msichana aendelee kutafuta
 
Sija elewa hapo (asiwe mpenda ndogo), ebu fafanua mkuu....[emoji39] [emoji39]
 
Kumbe ni mwezi wa 12, tayari mmeshafunga!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hakuna kipengere umesahau hapo? Kile cha kuingiza mkono mfukoni sijakiona hapo,au hupendelei...
 
je hayo unayoyataka we unayo? si utegemee kupata tu we kutoa huwezi... kuna mademu hata kucheka wanaleta pozi
Hahaaaahaaaaaaa
Kaaaz kwelikweli.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Inawezekana 100% ila binadamu sisi sio wakamilifu Mungu atusaidie
 
Sasa ww hata chura huna halaf una masharti mengiiii
 
Back
Top Bottom