Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Utatupata tu kama kawaida, vip na wewe umekamilika kila idara?
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Unaweza kumpata. Ni jinsi gani na Wewe uko kimaisha! Hakuna linaloshindikana... Unatakiwa uwe Mawazo ya wazi... Karibu
 
kama na wewe ni mrefu mnene huna maringo unajua mapenzi unajua kujali familia huna aibu mchezoni upo tayari kusaidiana maisha nipo arusha umenipata
 
Utapata … weka nia basi watu waje …
 
mm urefu wangu ni cm 177, mengine yote tutayajenga i mean inategemea na wewe ulivyo, kama uko powa let we make one thing clear
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Nipo mkuu sema hujaniona!!ila hapo kwenye!!"asiwe mpenda ndogo"mkuu umeniacha kidoogo umemaanisha ndogo ipi[emoji86]
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Imposible!!!#
 
Ungeongeza sifa nyingine *Awe mcha Mungu hakika ningefuata popote huendako.
 
Wapo wa hivyo... Sema hawapati shida kupata wadada, usipokutana nae mtaani huko huku huwezi mpata. Labda uwe mchepuko wake
 
Back
Top Bottom