Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kumpata. Ni jinsi gani na Wewe uko kimaisha! Hakuna linaloshindikana... Unatakiwa uwe Mawazo ya wazi... KaribuMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Udalali huoooooKwamba unataka Jamaa wa dizaini hiyo.?
Yupo mmoja namjua anazo hizo sifa aisee.!
Kama vip, niwakutanishe nae.
Nipo mkuu sema hujaniona!!ila hapo kwenye!!"asiwe mpenda ndogo"mkuu umeniacha kidoogo umemaanisha ndogo ipi[emoji86]Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Imposible!!!#Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Na wewe unasifa nnazozitakamm urefu wangu ni cm 177, mengine yote tutayajenga i mean inategemea na wewe ulivyo, kama uko powa let we make one thing clear