Hivi inawezekana kutatua matatizo bila kumshirikisha mtu?

Hivi inawezekana kutatua matatizo bila kumshirikisha mtu?

kurudia rudia maana yake haujasolve
hii inamaanisha umeziba shimo la panya kwa mkate

kuna muda heri ujenge ukuta mpya kuliko kuziba nyufa kila siku
Nakazia!!
 
Mapenzi na hekaheka zake anyway...mshirikishe huyo rafiki yako kukaa nalo mwenyewe ni zigo....
 
Wanawake wengi utaka mwanaume dikteta ukiwa demokract ukuona pimbi tu.
Wanaume wengi sana waungwana uteswa sana wanawake sema tu wengi ufa nayo moyoni,thus wanaume ufa mapema.
umezungumza point mkuu mpaka imenibidi kucomenti japo kwa kipindi kirefu nimekuwa ni msomaji tu kuliko kuchangia ,kutokana na matusi kejeli za humu ,

iko hivi haya mambo yashawahi nikuta,kipindi nina mtoto wa kwanza ,
Mwanamke alishawahi nizinguwa kipindi mtoto wangu akiwa mdogo ,alikuwa anashikwa masikio kwa kutaka kufanya biashara wakati mtoto akiwa mdogo na niliona wazi hawezi kumudu haya yote ,kwamba alee mtoto huku na biashara na ilihali hapo hafanyi biashara mambo yalikuwa mengi na anashindwa kuyahandle ,
Sasa kila nikimwelewesha jaribu kutulia lea kwanza mtoto akishakuwa basi utafanya unachotaka ,mimi sikuzui ,basi ikawa maneno na kelele hanielewi ,.
Sasa ilifika mahali ikawa ugomvi na kelele ndani mpaka kuna siku nikamzaba makofi ,basi akatangaza kwa ndgu zangu na kwao nimempiga ,bi mkubwa nae bila kufikiria akamwambia uje huku ,Basi bwana narudi mtu anapanga safari bila kuniambia ,nikamwambia usiondoke sitaki mwanangu awe mbali na mimi ,mwanamke hakusikia ,mimi nilivyoondoka asubuhi nikaacha hela ya matumizi kama kawaida ,
Niko njiani kuna rafiki yangu alinipigia simu kwamba kapigiwa simu na wife amsindikize ubungo asafari ,nikwambia usiende popote huyo mke wangu na sikumruhusu aondoke ,ila baada ya muda mwamba akanipigia siku anaona aende amsindikize shemeji maana analia ,Mimi nilichomjibu sawa ,
Nilivyorudi jioni nikakuta familia haipo washaondoka mimi sikumuuliza mtu kitu nikashafisha nyumba yako ,nikaendelea na maisha ,basi mwanamke alivyofika huko akapiga simu mimi sikupokea ,tumekaa wiki bi mkubwa ananipigia simu mimi sikumuuliza chochote kwamba familia imefika au vipi ,na tukiongea tunaongea mengine,na yule mwanamke akipiga simu mimi sipokei,Basi na yule mwamba nikamwambia chochote kitachompata mwanangu utakuwa responsible ,na mimi wala sitomwambia arudi ,yule alomwita basi siku akimchoka atamwambia arudi ,alompa nauli ya kwenda atampa yakurudi ,na alompelekea ubungo ndio atamrudisha ,na akishafika hapa kisha mimi ntamrudisha kwao ,
Yule mwanamke alikwenda kukaa huko kwetu kama miesi 6 sijawahi mpigia simu wala kumtumia chochote wala kupokea simu yake ,wazazi walisema mpaka basi ,nikamwambia hamuwezi mchukuwa mke wa mtu bila ruksa ya mume ,kwahiyo acha ajifunze adabu ,

MPAKA LEO ANAJUA AKIONDOKA BILA IDHINI YANGU MBONA SIHANGAIKI NAYE ,maana naye alikuwa anatumia kigezo cha kuwa nampenda mtoto wangu basi kama fimbo yakunichapia ,

SASA HATA KAMA NILIKUWA NAUMIA NILIJIKAZA sikuonyesha udhaifu wala kutetereka ,WANAWAKE WENGI HUTUMIA UDHAIFU WA WATOTO KUTUADHINU WANAUME ,usipokuwa na msimamo utateseka sana ,
 
Ukishakosea kuoa kuna mawili kama huna kifua libebe zigo lako.Au litue bila kuathiri malezi ya watoto.Kama hamjazaa njia sahihi ni kuachana.
KILA mtu akatafute wa kufanana nae,Ili kuepusha maradhi ya moyo, pressure,nk.
Maana ni ngumu Sana kuishi na nyoka labda uwe Yesu au neema ya Mungu imuokoe.
 
Pata uhuru wako hata kama ni kwa gharama kubwa.

Tabia huwa inabadika lakini taratibu.

Huwezi kumpaka mtu rangi ili umbadilishe tabia.

Ndio unaweza tatua tatizo bila kumshirikisha ndugu. Haimaanishi ushauri unaopata kwa ndugu ndio kitu sahihi cha kufanya. Kumbuka ndugu watakuwa upande wako hata kama kosa ni la kwako.

Pata ushauri sahihi kutoka kwa mtaalamu wa ushauri ambaye mambo yako ataweka siri na utaweza kumweleza kila kitu.

Baada ya kupata ushauri unapaswa uchague kuutekeleza au kuto utekeleza (maamuzi) ujue hasara za ke na faida zake. Na uwe tayari kisomamia maamuzi uliyofanya bila kuyumba hata kidogo.
 
umezungumza point mkuu mpaka imenibidi kucomenti japo kwa kipindi kirefu nimekuwa ni msomaji tu kuliko kuchangia ,kutokana na matusi kejeli za humu ,

iko hivi haya mambo yashawahi nikuta,kipindi nina mtoto wa kwanza ,
Mwanamke alishawahi nizinguwa kipindi mtoto wangu akiwa mdogo ,alikuwa anashikwa masikio kwa kutaka kufanya biashara wakati mtoto akiwa mdogo na niliona wazi hawezi kumudu haya yote ,kwamba alee mtoto huku na biashara na ilihali hapo hafanyi biashara mambo yalikuwa mengi na anashindwa kuyahandle ,
Sasa kila nikimwelewesha jaribu kutulia lea kwanza mtoto akishakuwa basi utafanya unachotaka ,mimi sikuzui ,basi ikawa maneno na kelele hanielewi ,.
Sasa ilifika mahali ikawa ugomvi na kelele ndani mpaka kuna siku nikamzaba makofi ,basi akatangaza kwa ndgu zangu na kwao nimempiga ,bi mkubwa nae bila kufikiria akamwambia uje huku ,Basi bwana narudi mtu anapanga safari bila kuniambia ,nikamwambia usiondoke sitaki mwanangu awe mbali na mimi ,mwanamke hakusikia ,mimi nilivyoondoka asubuhi nikaacha hela ya matumizi kama kawaida ,
Niko njiani kuna rafiki yangu alinipigia simu kwamba kapigiwa simu na wife amsindikize ubungo asafari ,nikwambia usiende popote huyo mke wangu na sikumruhusu aondoke ,ila baada ya muda mwamba akanipigia siku anaona aende amsindikize shemeji maana analia ,Mimi nilichomjibu sawa ,
Nilivyorudi jioni nikakuta familia haipo washaondoka mimi sikumuuliza mtu kitu nikashafisha nyumba yako ,nikaendelea na maisha ,basi mwanamke alivyofika huko akapiga simu mimi sikupokea ,tumekaa wiki bi mkubwa ananipigia simu mimi sikumuuliza chochote kwamba familia imefika au vipi ,na tukiongea tunaongea mengine,na yule mwanamke akipiga simu mimi sipokei,Basi na yule mwamba nikamwambia chochote kitachompata mwanangu utakuwa responsible ,na mimi wala sitomwambia arudi ,yule alomwita basi siku akimchoka atamwambia arudi ,alompa nauli ya kwenda atampa yakurudi ,na alompelekea ubungo ndio atamrudisha ,na akishafika hapa kisha mimi ntamrudisha kwao ,
Yule mwanamke alikwenda kukaa huko kwetu kama miesi 6 sijawahi mpigia simu wala kumtumia chochote wala kupokea simu yake ,wazazi walisema mpaka basi ,nikamwambia hamuwezi mchukuwa mke wa mtu bila ruksa ya mume ,kwahiyo acha ajifunze adabu ,

MPAKA LEO ANAJUA AKIONDOKA BILA IDHINI YANGU MBONA SIHANGAIKI NAYE ,maana naye alikuwa anatumia kigezo cha kuwa nampenda mtoto wangu basi kama fimbo yakunichapia ,

SASA HATA KAMA NILIKUWA NAUMIA NILIJIKAZA sikuonyesha udhaifu wala kutetereka ,WANAWAKE WENGI HUTUMIA UDHAIFU WA WATOTO KUTUADHINU WANAUME ,usipokuwa na msimamo utateseka sana ,
Ukiona mke wako kaondoka usiangaike nae kesho kanunue nguo za kike uwe unaanika nje KILA mara mara majirani watampelekea umbea kwamba kuna chuma kipya kimeshaingia kesho tu atarudi.Sometimes huwa Wana mdudu kichwani anawadrive lengo ni kumvuruga mume kupitia shetani baada ya kushindwa kukuingia wewe Ili avuruge mipango yako.
Na hasa akijua unamvumilia kwa ajili ya watoto umekwisha.
 
Mwanamke mpumbavu ubomoa ndoa yake mwenyewe kwa upumbavu wake.
Wengi ucopy ya kwenye tamthilia wakihisi ndio hali halisi maana wengi hawana uwezo wa kutofautisha,lengo kuu la tamthilia nyingi ajenda kuu ni kubomoa familia sasa wasio na ufahamu wanaiga na kuyaleta kwenye familia ni hekima tu ndo ikunusuru kuweza kuyashinda.
 
Nina tatizo la kifamilia kila nikiwaza nimshirikishe rafiki yangu wa karibu nina sita wazazi wamesha solve lakini bado mwanamke anarudia rudia kutojirekebisha.

Yaani nina mawazo mno sijui nifanyeje ili niwe poa watoto tunao nawaza kuachana lakini naumia nikikumbuka watoto WHAT CAN I DO yaani nateseka kinoma.
Ingawaje hujaweka wazi ya kuwa tatizo ni nini na kama chano ni yeye moja kwa moja au ni wewe kutokana na matendo yako, hivyo ikiwezekana baada ya kukwama kwenye ngazi ya awali unaweza washirikisha viongozi wa kiroho/kidini but wawe ni wanaoaminika kimatendo na kimaadili. Ikishindikana itabidi uchukue uamuzi mathubuti kwa kufocus kwenye ustawi wa watoto na maendeleo yako/familia kwa ujumla huku ukijua changamoto ni sehemu ya maisha tunayopitia.
 
Hapa pana ushauri pia,sema ushauliwe it can work
 
Nina tatizo la kifamilia kila nikiwaza nimshirikishe rafiki yangu wa karibu nina sita wazazi wamesha solve lakini bado mwanamke anarudia rudia kutojirekebisha.

Yaani nina mawazo mno sijui nifanyeje ili niwe poa watoto tunao nawaza kuachana lakini naumia nikikumbuka watoto WHAT CAN I DO yaani nateseka kinoma.

Kabisa, boresha mahusiano yako na Mungu, mtegemee yeye, atakuletea watu karibu wa kukusaidia.

Huwezi kupata msaada kwa mwanadamu
 
Nina tatizo la kifamilia kila nikiwaza nimshirikishe rafiki yangu wa karibu nina sita wazazi wamesha solve lakini bado mwanamke anarudia rudia kutojirekebisha.

Yaani nina mawazo mno sijui nifanyeje ili niwe poa watoto tunao nawaza kuachana lakini naumia nikikumbuka watoto WHAT CAN I DO yaani nateseka kinoma.
Pole sana
 
Kwahiyo ndoa yako inawekwa vikao na wazazi wako?

Kwahiyo mkiachana watoto wenu ndo watakuwa wakwanza dunia kuwa na wazazi waliotengana?

Ndoa ni ya mwanamke mzee yaani ukiona mwanamke haeshimu ndoa ujue imekufa Aki fit kwenye kuachwa usifikirie mara mbili HAMNA cha kikao wala nini unatuma meseji kwa wazaZi wake tu jamani furushi lenu litakuja na bus la new force lipokeeni.Familia yako unawaambia tu,wale muhimu huyu sio mke wangu tena Tutalea nae watoto Sitaki discussion wala ushauri.
Ukishindwa hiyo telekeza tu huyo mwanamke mtoto peleka kwa bibi yake,wewe tafuta mwanamke mwingine.


Usicheke na mwanamke mpumbavu otherwise hutoboi hata miaka 50 unakufa,waliojaribu kuvumilia mwanamke mpumbavu wengi wao hawajafika miaka50 na waiofika wengi wana magonjwa ya moyo,presha na msongo wa mawazo.Unadhani Mungu alikosea kuweka wanwake wengi wanaume wachache???Alijua ni muhimu kuchagua aliyebora zaidi vinginevyo hutoboi.
 
Kuna muda huwa nawaza nikimbilie mbali hata kazi niache kuliko kuwa karibu na huyu mwanamke
Chukua nafasi ya uwanaume ..
masuala ya kuita marafiki/mjumbe wanyumba kumi/siui shemeji...waje mkae kikao wakutatulie matatizo yako ya ndoa that's stupid..
Tumia busara zako fanya maamuzi sahihi simamia unachokiamini kuwa na msimamo kama mwanaume toa kauli za busara kwa hekima na zenye ubabe ...
act strong usiwe mwanaume anayetafuta emotional support all the time!!

Ikishidnikana angalia namna bora ya kuishi na hao watoto.. hata kama mkiachana..
 
Ukiona mke wako kaondoka usiangaike nae kesho kanunue nguo za kike uwe unaanika nje KILA mara mara majirani watampelekea umbea kwamba kuna chuma kipya kimeshaingia kesho tu atarudi.Sometimes huwa Wana mdudu kichwani anawadrive lengo ni kumvuruga mume kupitia shetani baada ya kushindwa kukuingia wewe Ili avuruge mipango yako.
Na hasa akijua unamvumilia kwa ajili ya watoto umekwisha.
Ndio maana mimi nilisema ukitaka kudumu na mwanamke kamwe usikae kiboya! Na usikubali mwanamke akuelewe au ajue udhaifu wako upo sehem gani? Yaani unatakiwa uwe unabadilika badilika, sometines upo romantic sometimes kauzu, nk.

Mimi nashukuru mke wangu anajua kabisa kwamba siku akiondoka, yaani wiki mbali atakuta nimeshaingiza kifaa kingine kikali ndani.
 
Ndio maana mimi nilisema ukitaka kudumu na mwanamke kamwe usikae kiboya! Na usikubali mwanamke akuelewe au ajue udhaifu wako upo sehem gani? Yaani unatakiwa uwe unabadilika badilika, sometines upo romantic sometimes kauzu, nk.

Mimi nashukuru mke wangu anajua kabisa kwamba siku akiondoka, yaani wiki mbali atakuta nimeshaingiza kifaa kingine kikali ndani.
Hii sahihi mkuu. Ukiwa mstaarabu anakutesa makusudi.
 
Nina tatizo la kifamilia kila nikiwaza nimshirikishe rafiki yangu wa karibu nina sita wazazi wamesha solve lakini bado mwanamke anarudia rudia kutojirekebisha.

Yaani nina mawazo mno sijui nifanyeje ili niwe poa watoto tunao nawaza kuachana lakini naumia nikikumbuka watoto WHAT CAN I DO yaani nateseka kinoma.
Kitu usichojua kuwa kama yeye mwenyewe hataki badilika hata waje Malaika hawezi
 
Back
Top Bottom