Hivi inawezekana kwa aliyesoma Chuo Kikuu Huria shahada ya kwanza na pili akafundisha UDSM, SUA, Muhimbili au UDOM?

Wengi wanaosoma hapo ni wale walifeli form four au form six alafu wakaungaunga sana. Huwezi kuperform vizuri advance ukaenda kusoma open, HAIWEZEKANI NA HAIPO
 
Elewa kwanza mada, hata hivyo kigezo cha kuwa raisi ni degree yoyote hata kama ulisoma Teku au Sekomu sijui.

Ila katafute kigezo Cha kuwa Assistant Lecturer UDSM, ndio utaelewa
Baada ya hivo vigezo,mwisho wa siku inakuwaje?elimu haijalishi mazingira ni kichwa chako

Km ww ni kilaza ni kilaza tu 😆 hataa usomee angani
 
Baada ya hivo vigezo,mwisho wa siku inakuwaje?elimu haijalishi mazingira ni kichwa chako

Km ww ni kilaza ni kilaza tu [emoji38] hataa usomee angani
Hahahahah jamaa angesoma havard , Stanford, Princeton au MIT sijui ingekuaje!?[emoji2][emoji2][emoji1787]

Mwambie hata angesoma kuzimu kama bichwa lake ni bogus ni bogus tu.

Alisoma kilangalanga na mzumbe au mpitimbi na st Mary wote wanakutana Chuo kimoja kozi Moja.

Mwisho wa uelewa wako ndio una una matter

Mimi nafanya kazi na udsm graduand mchovu kinyama. Hata kazi hawezi tunampush tu.
 
Elimu ya sasa hivi haitaji ukubwa wa chuo bali ni kujiongeza kwa mwanafunzi mwenyewe hivyo mtu anayezungumzia ukubwa wa chuo bado hana maarifa kichwani.
Kwamba wanadhani ukubwa wa Chuo Chao ndio ukubwa wa content wanazosoma.
 
Baada ya hivo vigezo,mwisho wa siku inakuwaje?elimu haijalishi mazingira ni kichwa chako

Km ww ni kilaza ni kilaza tu [emoji38] hataa usomee angani
Kilaza anaweza kusoma UDSM?? Labda maana ya kilaza iwe imebadilika
 

Open University ndio Inaongoza kupeleka watu kufanga Msc nje ya nchi hasa UK, Achenj nyie, WaTz wanakidharau sana hawajui tu.

Course yake ya MONITORING AND EVALUATION in International Policy Development inatambulika WORLDWIDE kukiwa na Vyuo si chini ya 4 vyenye hiyo kozi zinazotambuliwa International
 
Wengi wanaosoma hapo ni wale walifeli form four au form six alafu wakaungaunga sana. Huwezi kuperform vizuri advance ukaenda kusoma open, HAIWEZEKANI NA HAIPO
Mimi nakubishia,kuamua kusoma chuo chochote ni maamuzi ya mwanafunzi kulingana na nafasi yake na muda wake,kuna watu wanakazi nyingi sana za kufanya na wanaona hawana muda wa kukaa darasani kusoma,pia mfumo wa usomaji kwa kilaza hawezi kuumudu kwani unahitaji watu wenye uwezo mkubwa wa kuchambua materials kwani siyo spoon feeding,hivyo wanaohitajika ni wale waliokizi vigezo vya tcu na hakuna aliyefeli 4m6 anaruhusiwa kudahiliwa open university of Tanzania.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Watu kibao wamesoma hicho chuo hasa masters mpk viongozi serikalini,kinatambulika na Tcu sana

Kapige shule
Chuo cha mchongo hko.. hawez toboa udsm akawa mwalimu.. watamzingua
 
Hebu tuelezee Ile foundation course ni ya kazi gani?

Nina mifano halisi.
Hata kama humu mnatetea vyuo vyenu.
 
Vp pale ajira portal huwa wanataka aina ya vyuo ambao wanafunzi wake wanaruhusiwa kuomba kazi kwa ajili ya kufundisha UDSM. Ebu angalia ajira portal nafasi zilizotangazwa juzi Kama Kuna kitu Kama hicho tofauti na hapo unakuwa mpotoshaji Kama wengine.
Chuo cha mchongo hko.. hawez toboa udsm akawa mwalimu.. watamzingua
 
Hebu tuelezee Ile foundation course ni ya kazi gani?

Nina mifano halisi.
Hata kama humu mnatetea vyuo vyenu.
Foundation course ni kuwasaidia wahitimu wa kidato cha sita ambao wamepungukiwa sifa ya kujiunga vyuo vikuu ili waweze kupata sifa kwani ku-resit ni kazi ngumu sana.
 
Hebu tuelezee Ile foundation course ni ya kazi gani?

Nina mifano halisi.
Hata kama humu mnatetea vyuo vyenu.
Na pia mtu aliyesoma hiyo kozi huwezi kumkuta pale out kwani huwa wanaenda kusoma vyuo vingine tofauti, mfano kuna jamaa ysngu anasoma medicine kampala international university of Tanzania, mwingine yupo Archbishop mihayo university of Tanzania-Tabora, hivyo usiishi kwa kukalili na kuwa na mitazamo hasi kama hiyo.
 
Hiyo ni tuition centre, sio chuo kikuu
Hukifahamu chuo kikuu huria kumbe bwana mdogo.
THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA ni chuo bora duniani na ni namba 7 kwa Afrika kwa ubora na 14 kidunia kwa vyuo vinavyotoa elimu kwa njia ya masafa.
Tatizo lako umekariri chuo kikuu lazima ukae darasani na tambua kuwa duniani huko kwa wenzetu wameshaanza kuachana na kukaa darasani chuo kikuu wanatumia elimu kwa njia ya masafa. Kipindi cha corona vyuo vyote duniani vikiwemo vya Tanzania vilifunga huduma ya masomo isipokuwa vyuo vikuu huria tu kikiwemo cha Tanzania na wanafunzi walifanya mitihani yao kama kawaida.
Pia chuo kikuu huria cha Tanzania ndio chuo namba 1 hapa Tanzania kwa matumizi ya TEHAMA.
 
Huku mtaani wanafanyiwa assignment na mitihani, wanalipa Hela, hiyo ni tuition centre
 
Labda zamani ulikuwa ukipata dvn 1 ulikuwa huwezi kusomea ualimu ila miaka ya hivi karibuni kupata dvn 1 sio dili tena ani sio swala kabisa kuna watu wanapata dvn 3 wako SUA UDOM MUST wanasoma faculty tofauti na ualimu na kuna watu wana dvn 1 wanasoma education ni just maamuzi

Ukizingatia miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko LA vyuo vikuu mfano mzuri ni medicine zamani ilikuwa hatari bila One ya 6 hutoboi vyuo vya serikali na vyuo vya serikali vina competition kubwa sio kwa sababu vinatoa pure graduates watu wanakimbilia huko kwa sababu ya ada

Ila Siku hizi one ya 9 unaomba pale UDOM au tawi la MUHAS pale mbeya unapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…