Hivi inawezekana Mke wako akajua mahusiano yako ya nje na akayavumilia, akayaishi ikiwa hutoki relini?

Huyo mchizi si wewe kweli!??😄
 
Haya Mambo magumu mkuu... Don't take it too personal...
 
Wapo ila ni wachache sana. Hasa wale wasio na elimu na wana ushamba fulani hivi. Yule mke wa ''askofu'' Gwajima unamjua? Huyu anaweza kuwa mmoja wapo. Hata yule wa mwendazake anaweza kuwa alikuwa hivyo.
Weweeee...hao ambao hawana elimu ndo hatari zaidi ndugu.Usiombe kabisa..kuna maamuzi atafanya utashangaa.Bora tu hawa wenye upeo kuna reasoning atafanya, kuna sehemu ataanzia ambayo kuna kitu inaweza saidia.
 
Hakuna mwanamke anayesamehe usaliti, either atalipiza Kwa kugawa nje, au atakuvizia uzeeni akugombanishe na watoto, akutese Kwa masimango ufe Kwa sonona arithi mali mapema......usione wajane ni wengi kuliko wagane.....Kuna njia halali nyingi za kuua mume bila kushtakiwa.....sasa wewe jidaaaangganyee.
 
Aisee..
Kama huyo jamaa yupo na anamsuply the areas I can't reach...

As For me.. Sina shida.

Nami anipe muda wangu tu...
Fainali uzeeni ndugu, uwezo na nguvu za kuhudumia huyo mchepuko miaka 20 mbele huna na atakukimbia, ila mkeo Kwa mapenzi, mazoea na kutunza heshima ya familia atakuvumilia......sasa siku utayorudisha mpira Kwa kipa ndo utamkuta kipa mkeo kageuka Diara🤣🤣🤣, mara mpira auweke kwapani, mara aukalie.....utakereka upate presha na sukari ufe mapema.

Usijidanganye mkeo haumii, anakusubiri uchoke aanze mashambulizi.....
 
Ehh!!!🙆🙆🙆
 
Yani.

Uko On point kila mahala.

School fees

Family and relatives support

Daily chores..domestics upo.

On Bed even better..

Yani you are perfect.

Kuna haja ya mkeo kusema lolote zaidi ya kumshukuru huyo msaada wa pembeni..!?
kama ana akili nzuri,na kwa kutegemea historia yenu,anaweza kuvumilia
 
Weweeee...hao ambao hawana elimu ndo hatari zaidi ndugu.Usiombe kabisa..kuna maamuzi atafanya utashangaa.Bora tu hawa wenye upeo kuna reasoning atafanya, kuna sehemu ataanzia ambayo kuna kitu inaweza saidia.
Ukichukuwa ambao hawana elimu uwe mwangalifu. Kama ukimbilia hawa wa uswazi utakuwa na hali mbaya sana. Wao kuchepuka ni jadi. Kwa kifupi ambaye hana elimu halafu amalimbukia kwenye social media ni hatari. Mimi nazungumzia wale wa vijijini, wenye malezi ya kijijini, hata kusikia mawigi hawajui.
 
Labda uwe na pesa za kutosha na yeye ni tegemezi.
Maana ni Bora uishiwe nguvu za kiume na sio pesa.
 
Wapo ila ni wachache sana. Hasa wale wasio na elimu na wana ushamba fulani hivi. Yule mke wa ''askofu'' Gwajima unamjua? Huyu anaweza kuwa mmoja wapo. Hata yule wa mwendazake anaweza kuwa alikuwa hivyo.
Wale Wana maadili,maadili means Wana Mungu ndani Yao.
Mtu yeyeto asiye na Mungu ndani mwake,kwake dhambi ni maji ya kunywa.
 
Kuchepuka ni hulka ya mtu,hulka ukaa kwenye damu ukichunguza utakuta ni asili yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…