Awe na pesa yani nikifikiria kuziacha narudi nyuma, pisi kali wala hatuogopi wanawake sababu atatokea bwege atakayenipa pesa na mapenzi na kunisifia uzuri nilionao mpk kichwa kitajaa nitajiona hakunaga km mimi 🤣🤣🤣Hakikisha huyo wa nje ni pisi kali kuliko mkeo, hakika wanawake wakiona unatoka na mzuri zaidi yake lazima awe mpole lkn nyumbani uwe unafix kila kitu sio tena na ww ndo mjaza shimo la choo tuu.
Hawezi lazima ajikimbie 🤣🤣🤣Geuza upande wako kwanza.. uone
Lkn kuna ile unatembea hv unakutana na mwanamke mkali kuliko ww mpaka unatamani ungekuwa yeyeAwe na pesa yani nikifikiria kuziacha narudi nyuma, pisi kali wala hatuogopi wanawake sababu atatokea bwege atakayenipa pesa na mapenzi na kunisifia uzuri nilionao mpk kichwa kitajaa nitajiona hakunaga km mimi 🤣🤣🤣
Wanawake kumbe hujatujua vzr sisi ni wanafiki hata tuone mwanamke mwenzetu mzuri kiasi gani tutatafuta kasoro moja ambayo itanipa nguvu na nitamuona wa kawaida tu!!!Lkn kuna ile unatembea hv unakutana na mwanamke mkali kuliko ww mpaka unatamani ungekuwa yeye
Kuna demu flan mshikaji wangu nlwahi kumuuliza khs kumuonea wivu wanawake wenzake pisi kuliko yeye, akasema hua anaona wivu na roho kumuuma akiona demu pisi hasa wenye maumbo kuzidi yeyeWanawake kumbe hujatujua vzr sisi ni wanafiki hata tuone mwanamke mwenzetu mzuri kiasi gani tutatafuta kasoro moja ambayo itanipa nguvu na nitamuona wa kawaida tu!!!
Mtu pekee anayetunyima raha akitukosoa ni mwanaume aiseee… ndiomana tunapendeza ili tusifiwe na wanaume, na sifa ikitolewa na mwanaume tunafurahi kuliko wanawake wenzetu sababu tunajua sifa za kinafiki.
Alikudanganya 😂😂😂Kuna demu flan mshikaji wangu nlwahi kumuuliza khs kumuonea wivu wanawake wenzake pisi kuliko yeye, akasema hua anaona wivu na roho kumuuma akiona demu pisi hasa wenye maumbo kuzidi yeye
Kuna muhuni nae anakupigia, mke amekaa kimya sabab anajua ngoma ni droo hapo
Akikujibu nitag, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Geuza upande wako kwanza.. uone
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemaliza kila kitu.Hakuna mwanamke anayesamehe usaliti, either atalipiza Kwa kugawa nje, au atakuvizia uzeeni akugombanishe na watoto, akutese Kwa masimango ufe Kwa sonona arithi mali mapema......usione wajane ni wengi kuliko wagane.....Kuna njia halali nyingi za kuua mume bila kushtakiwa.....sasa wewe jidaaaangganyee.