Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu wazee wenzangu?
Iko hivi, kuna binti mmoja alikuwa mtu wangu back then. Sasa kutokana na harakati za maisha tukajikuta tumeachana, sema toka tuachane hatukuwa na ukaribu kivile.
So toka last week ananitafuta ananiomba nimkopeshe 800k ya ada ya mwanae kakwama then mwisho wa mwezi atanirudishia.
Kiasi hicho cha pesa naweza kupambana nikakipata ila wasiwasi wangu huyu mtu atanirudishia kweli hiyo pesa au ndio itakua bad debt?
Wenye uzoefu wa kuwakopesha ma ex wenu nipeni ushauri please!
HAIWEZEKANI milele daima yaniYes inawezekana
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu Zangu
Anampanga VizuriJanuary hii mtu anatafuta kujilipa mafao😂😂
Hapo SasaBaba yake yupo wapi????
NakaziaAt your own risk...
Yaaani...Anampanga Vizuri