Tumekuwa tukisomewa budget za wizara zote ila sina kumbukumbu kama wananchi tuliwahi kujulishwa vyanzo vyote vya mapato na kiasi kinachopatikana kwenye kila chanzo kwa mwezi au mwaka.
Usikute tunaenda kuomba misaada au kuingia madeni na wakati tunajitosheleza.
Hizi taarifa zinapatikana wapi wadau? Hii itatusaidia kupanga pia matumizi.
Ninachokiwa jamani! Nimechoka kukosa miundombinu mizuri. Hadi naanza kuwaza hivi.
Usikute tunaenda kuomba misaada au kuingia madeni na wakati tunajitosheleza.
Hizi taarifa zinapatikana wapi wadau? Hii itatusaidia kupanga pia matumizi.
Ninachokiwa jamani! Nimechoka kukosa miundombinu mizuri. Hadi naanza kuwaza hivi.