Hivi inawezekanaje mapinduzi kufanyika ndani ya Chama cha siasa ?

Hivi inawezekanaje mapinduzi kufanyika ndani ya Chama cha siasa ?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Sijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .

Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa

Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
 
Sijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .

Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa

Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
Yanawezekana kabisa kwa msaada wa huyo huyo msajili wa vyama mfano hai ni yaliyotokea NCCR Mageuzi na kumfurusha kabisa James Mbatia.
 
Sijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .

Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa

Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
NCCR kwa nguvu mamlaka mapinduzi yamefanyika mara mbili
 
Yericko akiwaza kutoa boko lingine
1000314656.jpg
 
Sijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .

Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa

Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
Haiwezekana ni upuuzi kumwamini nyeriko
 
Back
Top Bottom