Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Yanawezekana kabisa kwa msaada wa huyo huyo msajili wa vyama mfano hai ni yaliyotokea NCCR Mageuzi na kumfurusha kabisa James Mbatia.Sijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .
Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa
Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
NCCR kwa nguvu mamlaka mapinduzi yamefanyika mara mbiliSijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .
Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa
Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
Hata Lipumba alijiuzulu halafu baadaye akarudi na kuchukua chamaNCCR kwa nguvu mamlaka mapinduzi yamefanyika mara mbili
Haiwezekana ni upuuzi kumwamini nyerikoSijajua hili linawezekana vipi , Ofisi ya Msajili ina watambua watu fulani kama viongozi halali .
Inawezekana vipi mtu mwingine kujitangaza kiongozi? Kwani haiwezekani kwa Ofisi ya msajili kuagiza hao watu wanataka fanya mapinduzi kinyume na taaratibu za chama husika kukamatwa
Au na hili linakuwa na maelekezo toka juu ?
Itakuwa story za Yericko haiwezi kuwa kweliHaiwezekana ni upuuzi kumwamini nyeriko
lakini kiuhalisia katika Nchi ya kidemokrasia haya mambo yanatokeaje ?NCCR kwa nguvu mamlaka mapinduzi yamefanyika mara mbili
lakini kiuhalisia katika Nchi ya kidemokrasia haya mambo yanatokeaje ?