Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Habari wakuu.
Hivi ingekuwaje iwapo halmashauri za wilaya a mikoa ingepewa ruhusa ya kusaka wawekezaji popote duniani, kwa kujitangaza na kuwapa incentives zilizopo katika maeneo yao kama ardhi, kuwapelekea maji na kuwachongea barabara?
Mfano labda wilaya ya Mbinga itangaze kuwa inahitaji muwekezaji wa kiwanda cha kahawa, itampa ardhi bure ya kujenga kiwanda, itampelekea maji, iitachonga barabara, na kupeleka umeme hapo kiwandani. Chato wafanye hivyo kwa kiwanda cha samaki. Huko liwale wafanye hivyo kwa korosho. Singida nao kwa viwanda vya mafuta nk.
linaweza chochea maendeleo?
Hivi ingekuwaje iwapo halmashauri za wilaya a mikoa ingepewa ruhusa ya kusaka wawekezaji popote duniani, kwa kujitangaza na kuwapa incentives zilizopo katika maeneo yao kama ardhi, kuwapelekea maji na kuwachongea barabara?
Mfano labda wilaya ya Mbinga itangaze kuwa inahitaji muwekezaji wa kiwanda cha kahawa, itampa ardhi bure ya kujenga kiwanda, itampelekea maji, iitachonga barabara, na kupeleka umeme hapo kiwandani. Chato wafanye hivyo kwa kiwanda cha samaki. Huko liwale wafanye hivyo kwa korosho. Singida nao kwa viwanda vya mafuta nk.
linaweza chochea maendeleo?