Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello JF,
Nimesikia hilo sakata la Mnaigeria kutaka kubakwa Zanzibar...
Ila nimesikia rating ya hio hotel imekua 1.1 kutoka 4 something...
This means reputation imekwenda..
Sijui ita deal vipi na aftermath
Anyway,
Nimefikiria rating system ikiwekwa kwenye mawizara,wabunge na watumishi wa UMMA,
Yaani ukipata service mbovu kutoka office yoyote inayotoa huduma kuna kuwa na sehemu unatoa nyongo yako na kutoa rate... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wizara zina compete kwa rate, which means sisi wananchi tunapata huduma bora....
Mimi naona itakua powa sana,....LOL
Nimesikia hilo sakata la Mnaigeria kutaka kubakwa Zanzibar...
Ila nimesikia rating ya hio hotel imekua 1.1 kutoka 4 something...
This means reputation imekwenda..
Sijui ita deal vipi na aftermath
Anyway,
Nimefikiria rating system ikiwekwa kwenye mawizara,wabunge na watumishi wa UMMA,
Yaani ukipata service mbovu kutoka office yoyote inayotoa huduma kuna kuwa na sehemu unatoa nyongo yako na kutoa rate... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wizara zina compete kwa rate, which means sisi wananchi tunapata huduma bora....
Mimi naona itakua powa sana,....LOL