Hivi ishawahi kukutokea kuna mtu unakutana naye mara nyingi na anakukuta na nguo zile zile

Hivi ishawahi kukutokea kuna mtu unakutana naye mara nyingi na anakukuta na nguo zile zile

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau hivi haijawahi kuwatokea kuna mtu mnakutana naye na kila akikuta anakukuta na nguo zile zile yaani ata mkae miezi miwili alafu siku ukikutana naye anakukuta na nguo zile zile yaani unatamani umwambie ninazo nyingi.
 
Hahaha imeshanitokea sana miaka ya zamani. Kuna dada nilikuwa nampenda sana ila siwezi kumwambia lakini kila nikutana nae kanisani, njiani au popote alikuwa ananikuta na shati ya cream na suruali ya damu ya mzee nimechomekea hahahah
 
Kuna jirani mmoja mmama kila nikikutana nae njiani au popote ana nguo hio hio moja mpaka nikatamani kumuuliza anaipenda sana au?
 
Wadai hivi sijawahi kuwatokea kuna mtu mnakutana nae na kila akikuta anakukuta na nguo zile zile yaani ata mkae miezi miwili alafu siku ukikutana nae anakukuta na nguo zile zile yaani unatamani umwambie ninazo nyingi
mm huwa naamua nimuoneshe picha zangu nilizopiga na nguo nyngne
 
Hiyo zamani tuliita kauka nikuvae. Ni mambo ya kawaida inategemea na uchumi wa ntu au anacho kipendelea zaidi
 
Wadau hivi haijawahi kuwatokea kuna mtu mnakutana nae na kila akikuta anakukuta na nguo zile zile yaani ata mkae miezi miwili alafu siku ukikutana nae anakukuta na nguo zile zile yaani unatamani umwambie ninazo nyingi.
Nilijua niko peke yangu,na siku ukipiga zile kali unazozijua wewe hukutani naye...
 
Hahaha imeshanitokea sana miaka ya zamani. Kuna dada nilikuwa nampenda sana ila siwezi kumwambia lakini kila nikutana nae kanisani, njiani au popote alikuwa ananikuta na shati ya cream na suruali ya damu ya mzee nimechomekea hahahah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo zinakuwa ni fikra zako na kujishtukia hasa unapokuwa umemuweka mtu huyo akilini mwako, otherwise unakuta yeye wala hajawahi kuchunguza hilo labda awe amekutamkia dhahiri kwa kukwambia "unaipenda sana hiyo nguo!"
 
Kuna kaukweli lakini haswa ukiwa unapenda kuvaa nguo ya aina flani ila mimi inatokea ile siku umevaa kwa kujikataa ndo unakutana na watu unaojuana nao kwa wingi 😂😂
Umepiga tambara zako li t-shirt kubwaa ndio unakutana na nao 😀😂😂😂😂😂
 
Muda mweingine Kuna Bahati mbaya zinatuandama kisiri Siri bila kujua ,nadhan mshana anaweza kulitolea ufafanuzi.. just in case
Mie Bahati mbaya yangu ilikuwa Kila nikinunua electronic item, nikifika nyumbani lazima nikute umeme umekatika na utachelewa sana kurudi,
 
Mimi hunitokea ya utofauti kidogo mfano,
Kuna siku unatoka zako mishe mishe unakutana na mtu mnapiga stori kidogo wakati huo huo labda mbwa anakatiza anasepa zake, uelekeo flani.

Basi baada ya miaka kadhaa, miezi ni inatokea siku nyingine unakutana na huyo mtu eneo lile lile, muda ule ule, mada miyokuwa mnaizungumzia inakuwa ile ile, mavazi ya wote yale yale na mbwa anakatiza tena kuelekea uelekeo ule ule, baada ya matendo hayo kufanyika wewe ndio unapata kumbukumbu kuwa hali kama hii iliwahi kutokea siku nyingi zilizopita

Sijui wenzangu nanyi vp
Mshana jr karibu na wewe pia kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom