Hivi itakuaje kama JUA ndio jehanamu / ziwa liwakalo moto?

Hivi itakuaje kama JUA ndio jehanamu / ziwa liwakalo moto?

Hawa NASA hawa
Nasa hata sisi tunayo, ipo Mwanza. Kulikuwa na ginnery ya kuchambua pamba.

Hata Hamza Kalala kaiimba katika Masumanda.

" Nalehaya kwiza Nasaa, aleyo naleduma

E hela ndoho kongono"

Tafsiri

"Nataka kuja Nasa, lakini nashindwa

Kwa sababu sina hela".

Tumeshindwa kwenda kama NASA.

Ehela ndoho kongono!
 
Nasa hata sisi tunayo, ipo Mwanza. Kulikuwa na ginnery ya kuchambua pamba.

Hata Hamza Kalala kaiimba katika Masumanda.

" Nalehaya kwiza Nasaa, aleyo naleduma

E hela ndoho kongono"

Tafsiri

"Nataka kuja Nasa, lakini nashindwa

Kwa sababu sina hela".

Tumeshindwa kwenda kama NASA.

Ehela ndoho kongono!
Mkuu umeniongezea siku bure
 
The irony is, watu wengi wanaogopa moto wa Jehanam, ambao haupo, kuliko global warming/ climate change, ambayo ipo na matatizo yake yashaanza kujionesha.
Mkuu unawaza positive sana mpaka raha
 
Hakuna uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna sayari nyingine yenye ku support uhai kama ilivyo dunia.
Jua lina mwisho, dunia (earth) ina mwisho.

Jua ni nyota, kuna mabilioni ya mabilioni ya nyota.

Nyota nyingi zina sayari, sayari nyingine nyingi tu zina mazingira ya ku support uhai kama ya dunia.

Ukiweza kusafiri kutoka nyota hii ya jua, kwenda kwenye nyota nyingine kama Alpha Centaruri iliyo some 4.367 light years kutoka hapa, unaweza kukuta sayari nyingine inayoweza ku support maisha kama dunia.

Maana yake, jua linaweza kufikia mwisho, dunia ikafikia mwisho, lakini maisha ya watu walioweza kusafiri kwenda nyota nyingine, kitu ambacho ni kigumu lakini kinawezekana, yakaendelea.
 
Kwa mujibu wa fizikia ya sasa na kwa kuangalia nyota nyingine zilizo kama jua, jua haliwezi kuwaka milele. Litamaliza nuclear fusion inayolifanya liwake katika miaka takibani bilioni 4.5 ijayo.

Jua ni nyota, linaonekana kubwa hivyo kwa sababu ni nyota iliyo karibu tu.

Kwahyo baada ya hio miaka kupita jua litazima??
 
Mungu sio mkatili ivyo achome kazi ya mikono yake wakati anasema anatupenda.nazani.ni vitisho tu tupate kumtii mungu.
 
Hakuna uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna sayari nyingine yenye ku support uhai kama ilivyo dunia.
Inategemea na unamaanisha nini unapoandika "yenye ku support uhai kama ilivyo dunia".

Uhai ni neno pana, do you mean icrobial life? Complex life?

Unatumia criteria gani kusema sayari hii ina support life na hii hai support life?

Pia, kukosekana uthibitisho kunaweza kuwa kunatokana na uwezo mdogo katika vifaa vya kutafuta sayari hiyo, si kutokuwepo kwa sayari hiyo, so it may just be a matter of dedicating time and resources to this quest.

See The 6 Most Earth-like Alien Planets


 
Ila wakuu jua linachoma heee


Mkuu Saint_Mwakyoma yote haya yalisha tabiriwa tayari kitambo sana.

Ukisoma vitabu vitakatifu vimeandikwa nyakati za mwisho Jua litaongezwa ukali na kuwachoma wanadamu kwasababu ya maovu yao. Wataungua mpaka watatafuna ndimi zao!

Soma Ufunuo wa Yohana 16: 8-9

8 "Na malaika wa nne akakimimina chetezo chake juu ya Jua, nalo likapewa kuwaunguza wanadamu kwa moto."

9 "wanadamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka kuu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu!"
 
Leo nimelitazama jua kwa muda kidogo kwa jinsi linavyochoma wakuu hii hisia ikanijia je? Kama ndio jehanamu alafu dunia nzina itatupwa ndani yake alafu ni jambo la milele nyie nyie eeeh!

Hivi wakuu jua mnalionaje?
Mkuu uliwezaje kuliangalia tu?
 
Mkuu Saint_Mwakyoma yote haya yalisha tabiriwa tayari kitambo sana.

Ukisoma vitabu vitakatifu vimeandikwa nyakati za mwisho Jua litaongezwa ukali na kuwachoma wanadamu kwasababu ya maovu yao. Wataungua mpaka watatafuna ndimi zao!

Soma Ufunuo wa Yohana 16: 8-9

8 "Na malaika wa nne akakimimina chetezo chake kuu ya Jua, nalo likapewa kuwaunguza wanadamu kwa moto."

9 "wanadamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka kuu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu!"
Mkuu sio poa kwaio tumshukuru Mungu kwa jua kali
 
Back
Top Bottom