Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Kizazi chenye laana!"Anajiko.. anajikosha
Anajikooooo.. anajikosha"
"Lelele.. leleleleleeeee
Lelele... leleleeeeee"
"Awiii... awaaa:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizazi chenye laana!"Anajiko.. anajikosha
Anajikooooo.. anajikosha"
"Lelele.. leleleleleeeee
Lelele... leleleeeeee"
"Awiii... awaaa:
Mzee Baba kasema sisi nchi tajiri.Mkuu sisi wa nchi za matakoni tutaweza kweli izo universal transfer kweli akati hatuna lab za kitaalamu kama nasa tukinunua ndege mpaka wachungaji wakaombee je izo space ship itakuaje
Nasa hata sisi tunayo, ipo Mwanza. Kulikuwa na ginnery ya kuchambua pamba.Hawa NASA hawa
Mkuu umeniongezea siku bureNasa hata sisi tunayo, ipo Mwanza. Kulikuwa na ginnery ya kuchambua pamba.
Hata Hamza Kalala kaiimba katika Masumanda.
" Nalehaya kwiza Nasaa, aleyo naleduma
E hela ndoho kongono"
Tafsiri
"Nataka kuja Nasa, lakini nashindwa
Kwa sababu sina hela".
Tumeshindwa kwenda kama NASA.
Ehela ndoho kongono!
Na wewe mbayaaa daahHahahahah sijui uliwaza nini ila itakua umeona zambi zako ni toomuch ndo utubu hilo jia halijafikia hata robo
Na wewe mbayaaa daahHahahahah sijui uliwaza nini ila itakua umeona zambi zako ni toomuch ndo utubu hilo jia halijafikia hata robo
Mkuu unawaza positive sana mpaka rahaThe irony is, watu wengi wanaogopa moto wa Jehanam, ambao haupo, kuliko global warming/ climate change, ambayo ipo na matatizo yake yashaanza kujionesha.
Sawa mkuu hongeraWote humu naona hakili hamna hasa huyu mtua mada
Jua lina mwisho, dunia (earth) ina mwisho.
Jua ni nyota, kuna mabilioni ya mabilioni ya nyota.
Nyota nyingi zina sayari, sayari nyingine nyingi tu zina mazingira ya ku support uhai kama ya dunia.
Ukiweza kusafiri kutoka nyota hii ya jua, kwenda kwenye nyota nyingine kama Alpha Centaruri iliyo some 4.367 light years kutoka hapa, unaweza kukuta sayari nyingine inayoweza ku support maisha kama dunia.
Maana yake, jua linaweza kufikia mwisho, dunia ikafikia mwisho, lakini maisha ya watu walioweza kusafiri kwenda nyota nyingine, kitu ambacho ni kigumu lakini kinawezekana, yakaendelea.
Iyo mars wamesema siinaweza ikifanyiwa marekebisho flani flaniHakuna uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna sayari nyingine yenye ku support uhai kama ilivyo dunia.
Kwahyo baada ya hio miaka kupita jua litazima??Kwa mujibu wa fizikia ya sasa na kwa kuangalia nyota nyingine zilizo kama jua, jua haliwezi kuwaka milele. Litamaliza nuclear fusion inayolifanya liwake katika miaka takibani bilioni 4.5 ijayo.
Jua ni nyota, linaonekana kubwa hivyo kwa sababu ni nyota iliyo karibu tu.
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Ndio ....wanasema litakua halitoi mwanga kabisaKwahyo baada ya hio miaka kupita jua litazima??
Inategemea na unamaanisha nini unapoandika "yenye ku support uhai kama ilivyo dunia".Hakuna uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna sayari nyingine yenye ku support uhai kama ilivyo dunia.
Jua ni moto wa nyuklia (nuclear fusion)unaotumia nishati ya hydrogen kuwaka, hydrogen ikiisha inabadilishwa kuwa helium.Kwahyo baada ya hio miaka kupita jua litazima??
Ila wakuu jua linachoma heee
Eti nini jua ndo___?Jua ndio asili ya maisha hapa duniani jehenam imetoka wapi? Naona jua ndie MUNGU halisi
Mkuu uliwezaje kuliangalia tu?Leo nimelitazama jua kwa muda kidogo kwa jinsi linavyochoma wakuu hii hisia ikanijia je? Kama ndio jehanamu alafu dunia nzina itatupwa ndani yake alafu ni jambo la milele nyie nyie eeeh!
Hivi wakuu jua mnalionaje?
Mkuu sio poa kwaio tumshukuru Mungu kwa jua kaliMkuu Saint_Mwakyoma yote haya yalisha tabiriwa tayari kitambo sana.
Ukisoma vitabu vitakatifu vimeandikwa nyakati za mwisho Jua litaongezwa ukali na kuwachoma wanadamu kwasababu ya maovu yao. Wataungua mpaka watatafuna ndimi zao!
Soma Ufunuo wa Yohana 16: 8-9
8 "Na malaika wa nne akakimimina chetezo chake kuu ya Jua, nalo likapewa kuwaunguza wanadamu kwa moto."
9 "wanadamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, nao wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka kuu ya mapigo hayo; wala hawakutubu wala kumpa utukufu!"