Hivi itakuaje kama JUA ndio jehanamu / ziwa liwakalo moto?

Hivi itakuaje kama JUA ndio jehanamu / ziwa liwakalo moto?

Kwa mujibu wa fizikia ya sasa na kwa kuangalia nyota nyingine zilizo kama jua, jua haliwezi kuwaka milele. Litamaliza nuclear fusion inayolifanya liwake katika miaka takibani bilioni 4.5 ijayo.

Jua ni nyota, linaonekana kubwa hivyo kwa sababu ni nyota iliyo karibu tu.

Bila Jua, duniani hakuna maisha. Sasa kama Jua lina mwisho, hata dunia ina mwisho pia.
 
Mimi naona kama vile kuvuka miaka 500 ijayo tu ni kashehe.

Ma coronavirus na ma global warming yanaweza kutumaliza mapema sana kabla ya hilo jua kuanza kasheshe zake.

Kwa kweli kitu muhimu ni kuwa na uwezo wa kusafiri kati ya nyota moja na nyingine (interstellar travel) ili kikinuka sayari moja, watu waweze kwenda kutafuta makazi kwenye sayari nyingine.
Mkuu sisi wa nchi za matakoni tutaweza kweli izo universal transfer kweli akati hatuna lab za kitaalamu kama nasa tukinunua ndege mpaka wachungaji wakaombee je izo space ship itakuaje
 
Jua ndio asili ya maisha hapa duniani jehenam imetoka wapi? Naona jua ndie MUNGU halisi
 
Bila Jua, duniani hakuna maisha. Sasa kama Jua lina mwisho, hata dunia ina mwisho pia.
Jua lina mwisho, dunia (earth) ina mwisho.

Jua ni nyota, kuna mabilioni ya mabilioni ya nyota.

Nyota nyingi zina sayari, sayari nyingine nyingi tu zina mazingira ya ku support uhai kama ya dunia.

Ukiweza kusafiri kutoka nyota hii ya jua, kwenda kwenye nyota nyingine kama Alpha Centaruri iliyo some 4.367 light years kutoka hapa, unaweza kukuta sayari nyingine inayoweza ku support maisha kama dunia.

Maana yake, jua linaweza kufikia mwisho, dunia ikafikia mwisho, lakini maisha ya watu walioweza kusafiri kwenda nyota nyingine, kitu ambacho ni kigumu lakini kinawezekana, yakaendelea.
 
Leo nimelitazama jua kwa muda kidogo kwa jinsi linavyochoma wakuu hii hisia ikanijia je? Kama ndio jehanamu alafu dunia nzina itatupwa ndani yake alafu ni jambo la milele nyie nyie eeeh!

Hivi wakuu jua mnalionaje?
Ondoa uoga hakuna kitu kama hicho cha kuchomana kwenye moto milele
 
Mkuu kuchomana milele siyo kabisa. Mungu wetu ana huruma. Sisi tunaimwamini tunashindwa kutafsiri maandiko.

Wakati mwingine nalazimika ku-buy idea ya Mashahidi wa Yehova ili kujifariji.
Moto ni balaa, bora hata wakatoriki wanaamini kuna dhambi kubwa na ndogo.

Wenye dhambi ndogo watapata adhabu Kidogo then watasamehewa🤣

INASIKITISHA sana kumpa adhabu MOJA mwizi wa kuku, na mtesaji- muuaji wa raia.

Kwamba Mungu adhabu yake ni moja tu, KUCHOMA MOTO 🔥🔥🔥
 
Moto ni balaa, bora hata wakatoriki wanaamini kuna dhambi kubwa na ndogo.

Wenye dhambi ndogo watapata adhabu Kidogo then watasamehewa🤣

INASIKITISHA sana kumpa adhabu MOJA mwizi wa kuku, na mtesaji- muuaji wa raia.

Kwamba Mungu adhabu yake ni moja tu, KUCHOMA MOTO 🔥🔥🔥
Unajua tunacheka utafikili ni mazuri haha
 
Jua lina mwisho, dunia (earth) ina mwisho.

Jua ni nyota, kuna mabilioni ya mabilioni ya nyota.

Nyota nyingi zina sayari, sayari nyingine nyingi tu zina mazingira ya ku support uhai kama ya dunia.

Ukiweza kusafiri kutoka nyota hii ya jua, kwenda kwenye nyota nyingine kama Alpha Centaruri iliyo some 4.367 light years kutoka hapa, unaweza kukuta sayari nyingine inayoweza ku support maisha kama dunia.

Maana yake, jua linaweza kufikia mwisho, dunia ikafikia mwisho, lakini maisha ya watu walioweza kusafiri kwenda nyota nyingine, kitu ambacho ni kigumu lakini kinawezekana, yakaendelea.
Hawa NASA hawa
 
Back
Top Bottom