Hivi itakuja kutokea duniani muimbaji bora wa kike kama Whitney Houston?!

Hivi itakuja kutokea duniani muimbaji bora wa kike kama Whitney Houston?!

Wadau kwa muda wa miaka mingi nimesikiliza muziki wa RnB, Soul na Pop hasa wa wasanii wa kike ila mpaka sasa sijapata wa kumfikia WH! Huyu katika wasanii hakika alikuwa msanii na sidhani kama kuna msanii wa kufikia records alizoweka!
Mpaka anafariki alikuwa kashapata tuzo, 640+ huku akiwa nominated zaidi ya mara 781!!
Mbali na Whitney Houston Wasanii wanaomfatia kwa ubora ni pamoja na

2. Mariah Carey

3. Celine Dion

4. Christina Aguilera

5. Beyonce

6462db0a37784bd65ea396f5799f8e22.jpg


36eecb7c6ffaa7c9e4dd1cc8063d4643.jpg


Kwa akili yako....ukijumlisha Awards won zinafikia 640+ kweli? Binafsi sioni uzuri wa muziki wake, mi napenda muziki wa Bongo tu.
 
Hata Mama yake pia alikuwa mwimbaji mzuri. Anazo Grammy Awards pia. Inasemekana ndiye aliyem mentor...
 
WH alibahatika kutoka kwenye familia njema na hivyo kupata Promo ya ajabu mno.

Mama yake alishaimba na makundi ya muziki mengi na mmoja ya wanamuziki ni Luther Vandrous ambaye kila mahojiano aliomba wampigie wimbo wa HW.

Moja ya watu wa karibu kwenye familia ni Chaka Khan kama shangazi na Binamu yake Dionne Warwick kama sijakosea.

Mmoja ya wanawake wenye sauti ya kuliza watu ni Mama Aretha Franklin ambaye nakiri nimekuwa mpenzi wake hadi alipokuja Brandy na kumrithi.

Sema tu Mama alikuwa ni type nyingine ya show na HW type nyingine ya show. Mama alikaa na kupiga kinanda mwenyewe huku akiimba....

Angalia Obama anavyotoa chozi lake la kushoto kwa jinsi Mama anavyoimba wimbo wake mashuhuri ambao hata Celine Dion aliurudia.

 
Namba tano mtoe Beyonce muweke Alicia Keys, ukibisha tafuta performance yake ktk BET awards 2016, yaani kuanzia sauti hadi vyombo yupo vizuri sana, Beyonce promo zina mbeba.
 
Namba tano mtoe Beyonce muweke Alicia Keys, ukibisha tafuta performance yake ktk BET awards 2016, yaani kuanzia sauti hadi vyombo yupo vizuri sana, Beyonce promo zina mbeba.
 
Hapo ongeza i have nothng, saving my love, heart broken hotel..wanna danc with smbdy

Inshort huyu mama alimaliza kiu ya music tena mkute akiwa jukwaani anavyocheza na sauti u gonna[emoji173]
Kuna kippindi Jennifer hudson alikuwa anakuja kuja well ila stil yupo poa pia.

RIP


Ongeza all at once , na ready for love
 
Hiyo ilikuwa ni rejea ya Celine tu....

Licha ya hivyo Canada ni kama jimbo la USA.

Ukiwa Canada huoni hata tofauti yake na USA ni ipi.

Kuanzia nyumba, majengo, magari, lugha [ukiacha labda kule wanakozungumza Kifaransa].

FYI, baba yake Drake ni Mmarekani.....kutoka Memphis, TN.
Canada inaongozwa na queen Elizabeth by honor.
 
Huyu Mama na kumzidi umri BB bado BB ndiye amfundishe HW kutumia unga? Acheni uongo kama hamfahamu historia ya watu.

Whitney alikuwa mtumia unga kwa miaka mingi tu ila sema familia walificha au hawakutaka kuliona hilo na wakaja wakapata jalala la kutupia lawama.

Wee mtu alishatoka na akina Eddy Murphy, Jermain Jackson, Scott Pippen nk ndiyo kuja kuokotwa na kitoto BB by the time.

Mama ndiyo maana alikuwa amekauka mwili kwa miaka mingi kwa sababu Cocca inakausha mwili na mtu anakuwa hana Maziwa wala Makalio.

Hebu angalia huu wimbo ambao aliimba wakati hajawa bado na BB jinsi alivyochonga na kubaki mifupa. Cocca inachongesha watu si kawaida.



Wakulumiwa ni Boby Brown kwa kumfundisha huyu mlimbwende kubwia unga. So sad.
 
Huyu Mama na kumzidi umri BB bado BB ndiye amfundishe HW kutumia unga? Acheni uongo kama hamfahamu historia ya watu.

Whitney alikuwa mtumia unga kwa miaka mingi tu ila sema familia walificha au hawakutaka kuliona hilo na wakaja wakapata jalala la kutupia lawama.

Wee mtu alishatoka na akina Eddy Murphy, Jermain Jackson, Scott Pippen nk ndiyo kuja kuokotwa na kitoto BB by the time.

Mama ndiyo maana alikuwa amekauka mwili kwa miaka mingi kwa sababu Cocca inakausha mwili na mtu anakuwa hana Maziwa wala Makalio.

Hebu angalia huu wimbo ambao aliimba wakati hajawa bado na BB jinsi alivyochonga na kubaki mifupa. Cocca inachongesha watu si kawaida.


Sasa uongo uko wapi hapo bwashee? Kwamba Whitney alikuwa abwii unga? Kwamba hakuwa anabwia unga na BB? Haya mambo wote tunasoma tu kutoka source mbalimbali na usilete ujuwaji...

Nikikuuliza tu mmatumbi mwenzio Ray C ni nani kamfundisha kubwia unga unaweza kutowa maelezo?
 
Back
Top Bottom