kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
Pole sana, nikupe dedication?Hii thread imenitoa chozi.
Nashindwa hata nieleze namna gani nampenda huyu mama!
R.I.P my Whitney [emoji22][emoji22]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, nikupe dedication?Hii thread imenitoa chozi.
Nashindwa hata nieleze namna gani nampenda huyu mama!
R.I.P my Whitney [emoji22][emoji22]
Pamoja sanaaaaa mkuu.Wameishafariki wanamuziki wengi Ila binafsi
Ni wawili tu nilioumia
Whitney Houston na Lucky Dube
WH alibahatika kutoka kwenye familia njema na hivyo kupata Promo ya ajabu mno.
Mama yake alishaimba na makundi ya muziki mengi na mmoja ya wanamuziki ni Luther Vandrous ambaye kila mahojiano aliomba wampigie wimbo wa HW.
Moja ya watu wa karibu kwenye familia ni Chaka Khan kama shangazi na Binamu yake Dionne Warwick kama sijakosea.
Mmoja ya wanawake wenye sauti ya kuliza watu ni Mama Aretha Franklin ambaye nakiri nimekuwa mpenzi wake hadi alipokuja Brandy na kumrithi.
Sema tu Mama alikuwa ni type nyingine ya show na HW type nyingine ya show. Mama alikaa na kupiga kinanda mwenyewe huku akiimba....
Angalia Obama anavyotoa chozi lake la kushoto kwa jinsi Mama anavyoimba wimbo wake mashuhuri ambao hata Celine Dion aliurudia.
Nipatie mkuu,ambatanisha na video please!Pole sana, nikupe dedication?
'One moment in time' anzia lyrics mpaka video (official), nimeshindwa kuupload hapa anayeweza msaada pliz, very emotional waweza kutoa machoziNipatie mkuu,ambatanisha na video please!
Asante...
Ngoja nikaisake...'One moment in time' anzia lyrics mpaka video (official), nimeshindwa kuupload hapa anayeweza msaada pliz, very emotional waweza kutoa machozi
all at once, one moment in time, i am every woman, saving all my love for you ni baadhi ya nyimbo za WH nnazozipenda sana na zinanikumbusha mbali sana pia!!Ongeza all at once , na ready for love
Kwani na huyu mama alifarik kwa madawa ya kulevy? Samahani kwa swaliAnd I am not afraid to try it on my own
I dont care if I'm right or wrong
May her soul rest in peace.... Whitney alikuwa mkali kuanzia vocals hadi maana ya nyimbo zake ..
Ray c naye anaishia kama huyu mama aseee....unaweza ukawaua wauza madawa ya kulevya kwa jinsi wanavyoviteketeza vipaji