Hivi itakuja kutokea duniani muimbaji bora wa kike kama Whitney Houston?!

No.2 na No.3 Ni Shiiida.......
 
Huo ni mtazamo.
Kwa upande wangu hakuna kama Miriama Makeba.
 
Sijui kama kweli but niliwahi sikia nyimbo za Whitney zilikuwa zikitumika kuwaamsha wagonjwa walio kwenye coma
na zimewahi kutumiwa na NASA huko kwenye space....


Really?...Wow!
I will always love her.
 
Uongo ni kwamba BB ndiye kamfundisha WH kubwia unga. BB yeye alikuwa mtu wa jani hadi alipokutana na WH ndiyo akaanza kuwa nyoka mla unga.

Nimekuwekea huo wimbo ili uone tofauti yao kuwa mwaka 1985 wakati WH anatoa hicho kibao, Bobby Brown alikuwa na Mtoto wa miaka 16. Ukiangalia mwili wa WH unaona kuwa unga wa Columbia ulishaanza kumchonga.

Wote walibugia na siyo siri. WH akakafundisha hata katoto kake nakenyewe kakaanza kubugia na mwisho na kenyewe kakafa maji kwenye bafu la kuogea.....maajabu matupu mtu kufa kwenye bafu

Anyw, unaweza ukabaki na ufahamu wako kuwa ni BB kamfundisha WH kubugia unga. Yaani Katoto kadogo kanamfundisha Shangingi la kimataifa kubugia unga.
 
Atakuambia lord eyez
 
'Where do broken hearts go.......... Whitney alikuwa hatare sana
 
Huu wimbo ni kati ya nyimbo zake za mwanzo kabisa katika tasnia ya muziki, nyingine kama 'I wanna dance with somebody etc, hiyo ni miaka ya mwanzo ya 80's na ndo lilikuwa umbo lake na sio kwamba alishaabza kubwia madawa
 
Jamani tusimsahau Celine Dion huyoo ndo no.Moja anafata Whitney sio lazima uwe Na Tuzo nyingi ndo unaweza wengine Nyota tu..Mfano Barnabas Na Diamond
 
Mkuu,
Kama umeshawaona wala Unga wa Cocaine, wengi huwa wanachongeka kama wanywa Gongo. Angalia hata Video walivyomjaza Makeup kibao ili kuficha uso ulivyoharibika. Siyo umbo lake hilo ila effect za Unga.

Matola hebu someni hii habari kama MLIPITIWA na hamkusoma:

'I feel responsible': Whitney's brother Michael reveals HE was the one who introduced her to drugs

Read more: 'I feel responsible': Whitney's brother Michael reveals HE was the one who introduced her to drugs

Michael Houston Did Crack Cocaine With Whitney Houston Before Bobby Brown, He Confesses To Oprah
Read more: Michael Houston Did Crack Cocaine With Whitney Houston Before Bobby Brown, He Confesses To Oprah

Huu wimbo ni kati ya nyimbo zake za mwanzo kabisa katika tasnia ya muziki, nyingine kama 'I wanna dance with somebody etc, hiyo ni miaka ya mwanzo ya 80's na ndo lilikuwa umbo lake na sio kwamba alishaabza kubwia madawa
 
Umenikumbusha mwimbaji wa Pakistan wa kitambo aitwaye Nazia Hassan ambaye ni Marehemu sasa. Wimbo wake ulipendwa sana hata Tz ingawa kwa bahati film yake hadi leo sijaiona.

Lata Mangeshkar wa India ana umri wa miaka 86, ameanza kuimba 1942.
 
'just the lonely talking' by WH ndo nasikiliza sahizi
 
Hii thread imenitoa chozi.
Nashindwa hata nieleze namna gani nampenda huyu mama!
R.I.P my Whitney [emoji22][emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…